Wakanda Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2019
Lyrics
Wakanda - JCB (TZ)
...
J for J.C.B.
C for Chaka Zulu
Goes to all my brothers 'could be last name Thulu
When it comes to the drug shit 'our last name is gurus
Knee deep in the game 'strong kama mbuyu
This get-together took me back to the days
When me and man Evance would hustle for days
Tryna get a pay 'i praise the bread through the maize
If you are lying you stay close to where Zebra's graze, Uh
The streets code, the values we hold, like never snitch, never leave a soldier in a cold
Never flip a coin, just doin' a pawn
We (?) superior logic like A-Town joints
My common sense ain't common to all men
Wanna try talk some sense 'they say he's an old man
But all i see is recyclin of some old plans
So this is (?) i don't need poor plans
Si Wakanda - sababu tuna vunga huu ukanda
Si wajanja - sababu tuna mbinu za mkwanja
Na kiwanja 'wanagonga ngoma zetu za kijanja
Hivyo kwamba 'usitutishe kwa mitungi na pamba
Nakipanda kinanda kama kamanda anampanda kimada
Nawasoma kwenye radar, nawasoma kwenye shada
Waliovamia mada nawakabidhi kwa Chaba 'si tupo kwenye ibada ( He-he-he )
Tunawacheki tu ma Lady gaga 'wakisema "su" siunajuaga vile inakuwanga?
Vita bila mapanga, vifo bila matanga, matendo bila propaganda
Nawarusha tu Wakanda, rusha mpaka Mwanza kwa Kubanda
Mi old school 'niite chakubanga, kama unabisha waulize wadananda
Mi ndio mkali wao kwenye huu ukanda, askari wao wenyewe wanasanda
Nitatamba mpaka siku navishwa sanda
Kamanda wa K-Juu 'nikipanda kwao hakuna unafuu
Wanafuka 'kumbe moshi wa kifuu
Hawana hit hata kwa DJ Azu
Si Wakanda - sababu tuna vunga huu ukanda
Si wajanja - sababu tuna mbinu za
mkwanja
Na kiwanja 'wanagonga ngoma zetu za kijanja
Hivyo kwamba 'usitutishe kwa mitungi na pamba