Hater Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2020
Lyrics
Hater - Darassa
...
Hawajali urefu tumekimbiza
Wanajenga maumivu kutuumiza
Kutuombea shida za kutumaliza
Watuzibie mwanga tukae kiza
Ooh hawa watu sijui wananini ndani
Hawa watu sijui anawalipa nani
Angalia huko njian kampan
Watu na viatu vinatembea mtaani
Habari zao chuki chuki
Rafiki yao chuki chuki
Adui wa maendeleo ni chuki
Tunaishi nao maisha yenyewe mafupi
Habari zao chuki chuki
Rafiki yao chuki chuki
Adui wa maendeleo ni chuki
Tunaishi nao maisha yenyewe mafupi
Ukiona mtu ankunja kunja, hater
Anajenga love anavunja, hater
Kalewa mwingine unayumba yumba, we ni hater
Hakuna miasha bila ya hater
Mwingine anakufollow akuchoree, hater
Mwingine anakuchukia bure, hater
Anataka ubakie vile vile, jua ni hater
Hakuna miasha bila ya hater
Wenye chuki hawataki tunapumua
Wanashika mashati refa kashawajua
Wanakaba penati bado tunatusua
Wanatuua baba god anatufufua
Mi naishi maisha yangu hata habari sinaga
Na love ndani yangu hizo chuki sinaga
Kupanda panda watu kichwani kama jukwaa
Kujua wanachovaa, wanavyokula na kukaa
Maneno upepo yanapita
Changamoto ni shule ya maisha
Mjinga kufanya ujinga sifa
Mzushi hakosi majungu ya kuvika
Habari zao chuki chuki
Rafiki yao chuki chuki
Adui wa maendeleo ni chuki
Tunaishi nao maisha yenyewe mafupi
Habari zao chuki chuki
Rafiki yao chuki chuki
Adui wa maendeleo ni chuki
Tunaishi nao maisha yenyewe mafupi
Ukiona mtu ankunja kunja, hater
Anajenga love anavunja, hater
Kalewa mwingine unayumba yumba, we ni hater
Hakuna miasha bila ya hater
Mwingine anakufollow akuchoree, hater
Mwingine anakuchukia bure, hater
Anataka ubakie vile vile, jua ni hater
Hakuna miasha bila ya hater
Hakuna miasha bila ya hater
Hakuna miasha bila ya hater
Kama unaleta za kuleta hater
Kama unajijua hater sepa
Tunatupa kama toilet paper
Kwenye viwanja vyetu hatuchezi na mahater
Kama unaleta za kuleta hater
Kama unajijua hater sepa
Tunatupa kama toilet paper
Kwenye viwanja vyetu hatuchezi na mahater