Wigi Linawasha Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2019
Lyrics
Wigi Linawasha - Khadija Kopa
...
Halima temu, na lulu mtinge
watu kama woteeee..hahaaaaa
aaaa naima omari zungu bibi yupo kazini
hamuishi kuvutana mawigi wenzenu wanatafta pesa, nini shida mbona hekaheka
mawigi yanawadondoka mnaona haya kuyaokota, si kwa misuko hiyo vichwa vya bata
mizengwe mitaani wanasutana, huyu na yule hawaongei wamechukuliana bwanaa
maajabu mengine sijwahi ona, mtu na wifi yake wamenunianaaaa x2
kwenye facebook jamani wanachambana
instagram wanatukananaaa
huku nako wake wenza wanarogana, kutaamaki ngumi mkononi wanadundana
yule akiwa na uso mbaya lakini umbo kaajaliwa
ata yule mwenye kubwa ziwa bwana amemzimikia x2
usinione mimi tipwa tipwa bwana ndani kanogewa, siwezi kumkufuru muumba aloiumba dunia, shukrani nyingi kwake mola mashallaah kanipatia mimi x2
jicho nikilinyanyua kopa wenye uchu wanakodoa kodo, mwenye wivu wajinyonge na mimi nawakomalia x2
wakikwambia sio kwa uso huo waambie sio kwa kukomaa huko, mwanamke umekomaa wewe mwenzetu unacheza judo
wakikwambia sio kwa umbo hilo waambie sio kwa kisigino hicho, mwanamke unakwato wewe wenzetu umekuwa beberu
mwanamke umekoma aanh, mwenzetu unacheza judo
mwanamke unakwato aanh, mwenzetu umekuwa beberu
naongea na nyinyi vijana mnaoniangalia eee, mashauzi yakizidi sana watu watakuzodoa eee x2
nawanyooshea vidole oooh mana mnajizuzua aaah nawaona nawaona mnadanga na dunia aanh dada wigi pole sana eee oooh majanga umejitishwa ila wigi kalivue oooh suka nywele tatu kichwa
kimekuponza kiherehere kaanze upya kaanze upya maisha, tamaa zako zako na kwere ndizo zime zimekubwebwetesha
mjini kuna ishu tele kauze ata sambusa, peleka ata kwa oda nairobi na mombasa
mjini kuna ishu tele kauze ata sambusa, peleka ata kwa oda uganda na kinshasha
wa mjini twajijua, twachambia hadi mizizi
kama mji huuwezi, usijeweka makazi
sisi tuko toka enzi za togwa, soda zimekuja juzi
utalia mamaaa arijojombe
aah utakiona kimbembe arijojombe
utadanga na dunia arijojombe
umefubaa akili mpaka mwili kiranga komo
mi nnaimba we unaongea uyo alewe tu kwa pesa zake mwache alewe tu kalewa kalichapa tembo mwache alewe tu kwetu ogopa kopa mia tisa inapendeza x2
kwetu sisi ogopa kopa mia tisa inapendeza
tunapambana na hali zetu ee mia tisa inapendeza
apa mjini hatumkeri mtu mia tisa inapendeza
atuishi kwa kiki mjini eee mia tisa inapendeza KAA ZEEEE
Jembe rama chui mpe povu prince faith mtoto wa mjini kakaaa zuberi mabaskeli raisi wa wadau waendeshe kariakoo
eenh mtunzi wangu wa ukweli young hassan alli mzee wa ngenga waambie uzushi wao wauweke pembeni eeh
aaah sisi dam dam
weeee omari zungu likambliooooo washa baba washaaa washaaaaaaaaa
basi aya, aya ivo hahahaaaaaa
habari zao tunazo ila zetu sisi hawana
nawigi yanamidude midude nawigi yanamidonda rohoni roho mbaya imemzonga x2
atapata tabu sana uyo na wigi yana midude
amechokwa na mashoga zake uyo roho mbaya imemzonga
aaah wigi linamuwasha uyo na wigi yana midude
una anavokuakua roho mbaya imemzonga
weee baba isaya usikate nyuzi ondosha takataka mjini aah
ukiwaona waite oooh waje x4
kinondoni waiteee
kigamboni waiteee
na temeke waiteee
wa ilala waiteee
ukiwaona waite oooh waje x2
mwamvita waiteee
zena zege waiteee
shombe shombe weeeh waiteee
rukia manara waiteee
ukiwaona waite oooh waje x2
we juma mkima mzee wa base mkono mzito pagawishaaa heheheeeee moto hauzimi
kidole juu aaah kidole juu
mama kidole changu kidole changu
weee mama kidole changu kidole changu
kikonda x4
chapati samaki x2
chapati chapati chapati chapati chapati chapati chapati chapatiiiiiiiiiiiii
aaah chapati samaki x2