Full Stop Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2018
Lyrics
Full Stop - Khadija Kopa
...
Oooh ooh aanh anh×2
hamisi simba wa mwananyamala wambie nakuja eeh
wamekataa kona wamekubali penati aaanh
ili wapate tabu kwa mara nyingine tena mimi ni mtu wa watu nisiejua kunong'ona
Jamani mapaplalazi mtajuta kuniona mnaingilia mapenzi tunayopeana na bwana
limeanza na mizizi penzi sio la mwaka jana ooh hatukuingia juzi juzi aanh jiji la dar es salaam
Tumelipandia ngazi tukashusha na vilima tumeyafika mapenzi joto joto lazizima
Atakae jitia bazazi ajue hana usalama tutamfungia kazi aache hata maana×2
Pili Haongwa lulu mtinge pamoja salamu klabu twende
kanizimikia kweli na hasa pale ninaporembua
Sasa wezi wa mabwana nawaambia ntawachakachua
Nawapa onyo full stop hii ni challenge fungia×2
Nyie type zenu za vichochoroni ndo zinazowafaa
Sio wangu mimi chumba na valanda tena gorofani ndo ninampatia×2
Rahma papaa Yusuph mtoto wa mama chichii wa mwananyamala kheee kheri kuvaa kandambili kuliko mdundo mbovu eeh
Full stop jipangeni upyaa hapa kwangu mmechemka inaradha sweat sana ooh ndo maana hataki kutoka hata mje na waganga lori zima himaya yangu keshafika mlilie mizimu na makafala na mchinje hata paka×2
halaa wajifanya unalipa hutafuti wako ukamweka wewe huwezi miliki yangu baby cute wa kiafrika
kwanza nipo pekeangu nimetulia sina shaka nimetulia na mumewangu mtoto wa uhakika
Sweetie Jafari Ally mtoto wa kikwele
halaa unajifanya unalipa utafuti wako ukamweka
mimi huwezi miliki yangu baby cute wa kiafrika
kwanza nipo pekeangu nimetulia sina shaka nimetulia na mumewangu mtoto wa uhakika
hivyo vikalolaiti vyenu vinavyowapa jeuri ntavipiga marufuku hapa×2
Mimi ninarangi yangu sitaki uso wa paka mimi ninarangi yangu na tena bado nawaka×2nakopa bado nalipa
Bandika Bandika mimi nabandua oooh
Tumependana halifa huna hunalolijua ooh
Bandika bandika mimi nabandua oooh
Tumependana wawili wewe unajichopeka
Hakutaki pesa mbili hujijui takataka
Bandika bandika mimi nabanduaaa ×2
Tunika tunika Thabiti Abdul originally kibodi Tanzania nambari one mfalme wa kibodi "onyesha×2
Sema sema Mussa Mussa mipango mfalme wa bezi Tanzania wamekoga kwa halita eeh
Raisi wa mbagala kaisi Mussa kaisi mwambie asihi damumbaya kila anaevaa koti jeupe sio wote madaktar wengine wauza nyama
Enrico saundi klabu
fulllllllllll stop aaaanh
jinja nambari one Saidi Mfiruka mkono wa shetani aupigigi eeeh watapata tabu sanaaa eeeh heeeyaa
Thabiti Abdul mtoto wa ilala Aaanh mfalme wa kibodi waambie eeh Saida mama lulu eeeh waambie usione wingi wa ndevu wakafikiria busara puti mtoto wa mombasa
Tumependana wenyewe maneno maneno ya nini×2
Eti dhara kwatibai kwani mnataka nini sasa ninawaambia kijana yuko makini wala haitaji kocha maksimu yupo chini haitaji mkanda wa jeshi kijana yupo makini kiwanda anachondani anachatua vifaa kama yupo marekani sweetie Jafari Ally kama yupo marekani
eeeh usiguse moto utakuunguza×2
Napajua hapa bongo pameenea vituko
nakujua kule zenji pameenea vituko
na mombasa mjini pameenea vituko
kinadada nakwambia mambo ni mpambaiko
kama hujajipodoa hapa bongo huna soko
Hapa bongo huna soko....
niazimeni nauli kule zenji kuna soko
kila kuweka kibunga Mombasa kuna soka
eeeh usiguse moto utakuunguza×2
Akina dada wa bongo kwakweli wajanja sana
kina dada wa mombasa na nyie wajanja sana
na kina dada wa zenji kwakweli wajanja sanaa
mkifika uwanjani macho mnatazamana sasa mkifika nje mnagombea mabwana
eeeh usiguse moto utakuunguza
wapenzi wangu nawapenda msifikiri utani i love you so much msifikiri utani nimewamiso msiifikiri utani×2 asa mnapichizika nnaposimama stejini pale mnapichizika nnaposimama uwanjani mngekua embe dodo ningewala na majani eeh eeh ningewala na majani×2
eeeh usiguse moto utakuunguza ×2
watoto zangu wa kiume nisikilizeni nyie mnaojiita masharo baro nisikilizeni nyie mabarobaro nisikilizeni nawaambia kina kaka nisikilizeni wanawake wanajua pale panapo utamu wamepamba maua ukikoaa gonoria ukimwi utakua eeeeh ogopa
eeh usiguse moto utakuunguza ×2