Mama Mukubwa Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2018
Lyrics
ooooooh ooooooh
ooooooh ooooooh
henriko sound.....
fanya vitu
la mgambo limeshalia
stering wa picha nimeingia
maadui zangu nawabomoa
mbona mmelala ziko wapi kashkashi, nmesimama wima.......,ziko wapi mbwembwe zenu au.....
mnanijaribu kwa mwanga wa tochi
mnanyataa eeh mnangushii eeh
*com ogopa kopa
*com mama mukubwa eeh x2
maneno mengi humaliza vitendo wahenga walitwambia
na mbwembwe nyingi na kufata mkumbo ndivo mnajiharibia x2
ndo nyinyi mnotunza vya thamani wakati kwako kwako huna ata mbuni
ili upate upate sifa mitaani x2
mmejawa na kashfa nyingi oooh aibu nje ndanii ooh mikopo mnaodaiwa ooh mnajifungia ndani x2
mwanamke wa kisasa sikimbii madeni nikikutunza kabati ujue nnalo chumbaniiiii
nikikutunza kiti kwangu chini nikikutunza manoti ujue yapo waletiniiii x2
najua mnanifatilia kwangu kwangu naishi na nani nimekula sijakula ni siri yangu nyumbani x2
sitoki shobo (sina udugu na nyinyi)
ya nini shombo mie (nikanuka mitaani) x2
eeeh oooh aaah (ogopa kopa)
eeeh oooh aaah (mama mukubwa)
eeeh oooh aaah (ale kamata kamata)
eeeh oooh aaah (ale nyongesha nyongesha)
eeeh oooh aaah (sugua gaga)
eeeh oooh aaah
weeeee hahahahahaaa
eeeh kaka abdallah machale mzee wa matunda sikia hiyo
aaah aaah aunt latifa mamaa wakina mama wazazi yuko pamoja na wewe
weeeee omari zungu angusha mibuyu angusha mibuyu angusha mibuyu angusha
halima temu mama lulu mtinge wadau wa ukwee
young hassan alli director wa ogopa kopa mr pendwa peeeendwaaaa
ogopa kopa eeh
mama mukubwa eeh x2
pedesheeee adela kitemu hehee nisalimie fundi shaban dozi namba 54 atushonee mwenye madonge yapotee
heheeee twende twende twende twende twende
hiyooo eeh chinyama charles mtoto wa marehemu mkono wa upako wapake wapake
oyoyoyoyoyooooo x4 ooooooooh
mwaki kopa hahahaaaaa baba wa mirusho
ogopa kopa eeeh oyoyoyoyoooo
said base eeh oyoyoyoyoooo
omari zungu eeh oyoyoyoyoooo
na boooooooka oyoyoyoyoooo ooooooooh
oyoyoyoyoooo ooooooooh
eeh kassimu gama mavocha eeh chafya za mpishi hawezi kuzima motooo
wambie bagamoyo
chaulongo mpe chai ya bakuli eeh akinywa akishiba asimulie vizuri eeh
chaulongo mpe chai ya bakuli eeh
akinywa akishiba akuzulie vizuri eeh
unanimulika kwa mwanga wa tochi juani
wameshindwa makachero na camera mkononi eeh
wewe unipe kero unamamlaka ganiii x2
chaulongo mpe chai ya bakuli eeh (chaulongo huyo)
akinywa akishiba asimulie vizuri eeh (nenda kazue)
chaulongo mpe chai ya bakuli eeh ( aah aah aah)
akinywa akishiba akuzulie vizuri eeh
shughulini kwa watu waingia kwa mapana eeh
na matukutuku na nguo za kuazima eeh
bajaji na bodaboda na viguo vya kubana eeh
shughuli hujaalikwa wataka kutajwa jina eeh
shughuli hujaalikwa MC naitwa mama abdul kantangaze
chaulongo mpe chai ya bakuli eeh (akutangaze nani)
akinywa akishiba asimulie vizuri eeh (hata mtaa wa pili hujulikani)
chaulongo mpe chai ya bakuli eeh (huyo huyo huyo)
akinywa akishiba akuzulie vizuri eeh
unajitangza wewe mrs fulani eeh
mkewe yupo pembeni wajifanya humuoni eeh
mumewe kashatamka hakutai hayawani wee
mumewe kashatamka hakutaki wa zamaani old fashion
chaulongo mpe chai ya bakuli eeh (umepitwa na wakati)
akinywa akishiba asimulie vizuri eeh (aah aah aah)
chaulongo mpe chai ya bakuli eeh (eeh aah)
akinywa akishiba akuzulie vizuri eeh
eeeh vijana wangu wa kurupushani camp bagamoyo mpooooooo
kavimba mashavu kwa kula kitoweo kama paka la bwawani mume wa nduguyo wamtakia nini huna haya we kimeo x2
muwe wa shangaziyo wamtakia (huna haya we kimeo)
mume wa shogayo wamtakia nini (huna haya we kimeo)
oooh huna haya na huna ihsani (huna haya we kimeo)
aah huyo huyo (kaumia)x4
kipande cha nguru (kaumia)
kimemtoa imani (kaumia)
mume wa dadaye (kaumia)
eti anamwita honey (kaumia)
mume wa shangaziye (kaumia)
eti amwitia ndani (kaumia)
huyo huyo (kaumiaje)
huyo huyo (anajikata tu) x2
dokta mtanga na mwanza mshikamano camp aaah bibi glory na kati ya mwenge mama wa magril waambie namba ya bahati mtu hupewa na mungu
anajifanya mjanja kiberenge kaingia demani kakata tiketi ya basi .wenzetu kaingia botini (makubwa hayo)
roho mbaya wanapenda wenzao watote (kutwa kwa waganga hao)
roho mbaya wanapenda wenzao watote (aah mara sumbawanga hao)
roho mbaya wanapenda wenzao watote (ati juzi kaenda pemba)
saidi musa roho mbaya wanapenda wenzao watote (aah jana waenda tanga)
roho mbaya wanapenda wenzao watote (aah leo bagamoyo hao)
roho mbaya wanapenda wenzao watote (aya na mbagala hao)
roho mbaya wanapenda wenzao watote (kesho temeke hao)
roho mbaya wanapenda wenzao watote (aah wana roho mbaya hao)
wanichinjia bata mzinga kunifanya mi mjinga mwanichinjia bata mzinga kuniona mi mjinga
cheketu jini mbaya huyo (utamaliza waganga)
wewe kakukuta jina mbaya huyo (utamaliza waganga)
ana magamba huyoo (kambale) x2
ana masharubu huyoo (kambale)
ana teleza huyoo (kambale)
ana shombo huyo (kambale)
hukaa popote huyoo (kambale)