Niache Lyrics
- Genre:Afropop
- Year of Release:2018
This song is not currently available in your region.
Try the alternative versions below.
Alternative versions:
Lyrics
Niache - Diamond Platnumz
...
mmh eti nikuombee meema na baraka uzidi fanikiwa
siwezi kamwe wala
mmh
ni sawa na kuifosi sinema kuitazama na haijanifutia
lazma tu ntalala
oooh ooh
na kwa barabara ukipita nenda kulia ukiniona kushotoo..
staki hata tuonane
mmmh
usije wala ukanita donda vilia
utanichochea tu motoo
nisije kutukane
mmmh
kinachoniumiza nafsi kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
kumbe mapenzi ya sabato wakati nayazidisha mwenzangu nje unayatoa
we cement mi mchanga nkasema penzi tujenge lisije lowa
najitia mkandarasi naezeka mabati we chini kenji unabomoa..
niache niache niache
oooh niache (niache)
nipambane na moyo wangu (niache)
niaaache (niache)
mi moyo wangu unahasira(niache)
oooh niache (niache)
ooo oo oooh
nnajitahidi nisilale kwenye kitanda
huenda ntapunguza ndoto zako
mmmh
mwilini nnamachale utadhani mwanga
yote kuusahau uwepo wako
mmmh
laiti kama ngekuwa gari
ningekugonga barabarani
ama nyuki mtoa asali
nkung'ate sura wasiitamani
hivi we ungo ulivunja mwali
ama ulivunja sahani..!
kuniundia matimu kwa mitandao
vijembe vya kazi gani?
kinachoniumiza nafsi kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
kumbe mapenzi ya sabato wakati nayazidisha mwenzangu nje unayatoa
we cement mi mchanga nkasema penzi tujenge lisije lowa
najitia mkandarasi naezeka mabati we chini kenji unabomoa..
niache oooh niache
niache
mi moyo wangu unahasira(niache)
tena ukae mbali
niache (oooh niache)
niache
usiwapigie rafiki zangu (niache)
usithubutu hata simu yangu (niache)
choonte tafadhali (niache)
niaache
mmmh
ntakudanganya kwa tabasamu
ntakudanganya kwa kucheka
ntakudanganya hata kwa salam
(kwa salaam)
ila moyoni nakuchukia (nakuchukia)
ntakudanganya kukufollow (kukufollow)
ntakudanganya kwa comment (kucomment)
ntakudanganya kwa kulike picha ( na kulike picha)
ila siwezi kukuzimia