Mungu Wa Neema Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2018
Lyrics
Mungu Wa Neema - Ali Mukhwana
...
Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa
Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa .
Kama sio nguvu zako Baba
Nalia mimi ningekuwa wapi nakupenda aah?
Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa .
Ukanitoa mavumbini Baba
Ukaniita kwa jina lako
Mwokozi wangu woo-ooh
Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa .
Angalia dunia mbingu yote uliumba
Kwa jina lako Baba nakupenda aah
Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa .
Ni wa neema, ni wa, ni wa neema kubwa eeh
Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa .
Usiku na mchana tulipata chakula cha kila siku
Eeeh ndio maana tunasema sisi
Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa .
Baba nani kama wewe unashugulikia wajane na mayatima
Wanyonge na wadhaifu
Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa .
Yesu huyu haangali kabila lako eeh
Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa .
Nani mwanaume kama Yesu
Nani mwenye nguvu kama zako
Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa .
"Yeye ni simba wa yuda
Yeye ni kimbilio letu
Hakuna Mungu kama yeye"
Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa .
Wacha kulilia majirani wako mama eeh
Mlilie huyu Yesu mwenye uweza ooh
Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa .
Akikubariki mama nani wa kupinga
Mwongoza njia eeh mama yee
Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa .
Ni wa neema, ni wa
ni wa neema, ni wa neema kubwa
Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa