Loading...

Download
  • Genre:Amapiano
  • Year of Release:2023

Lyrics

TUNA KIKAO BY LAVA LAVA LYRICS


#INTRO �

Sisi ni walevi tunakesha bar

Tunatumia hela hatujaja kushangaa�

Weee Zombii Haujui?

Mimi simba na masimba dangotee

Eeeeh lovebite ninja kong fuu master

Aaaaaaah!! Master


#CHORUS�

Sisi ni walevi tunakesha bar�

Tunatumia hela mpaka jua lianze ng�aa

Kama pombe we hauwezi hapa hapoto kufaa

Nenda meza za inzi kwa wenzako wanao shangaa�

Wenyewe tuna kikao�

Tuna kikao tuna kikaoo tuna kikao�

Eeeh! tupishe bwana (Wenyewe tuna kikao)

Tuondolee kelele (Tuna kikao)

Tupishe bwana (Tuna kikao)

Eeeh! tuna kikao (Tuna kikao)�


#VERSE�

Wazee wa� nyumba tutajenga mwakani (Ndo zetu)

Kwanza heshima mezani (Ndo zetu)

Kikubwa gheto na bebe iwe ndani (Ndo zetu)�

Na mama ale nyumbani

Tukizikosa kitonga (Ganda la ndizi)

Tukizipata ndo maboss (Matumizi)

Tukiwa bwii kuhonga (Ving�ang�anizi)

Tunatakaga Ile kitu (Ya uzinzi)


#CHORUS�

Jamani sisi ni walevi tunakesha bar�

Tunatumia hela mpaka jua lianze ng�aa

Kama pombe we hauwezi hapa hapoto kufaa

Nenda meza za inzi kwa wenzako wanao shangaa�

Wenyewe tuna kikao�

Tuna kikao, tuna kikao, tuna kikao�

Eeeh! tupishe bwana (Wenyewe tuna kikao)

Tuondolee kelele (Tuna kikao)

Tupishe bwana (Tuna kikao)

Eeeh! tuna kikao (Tuna kikao)�


#VERSE�

Eeeh! Eeeh!�

Mishoti tu zayogo ndo chini nyan�ganyang�a

Na ukinchekea kidogo aah umetafunwa bwana�

Kushoto na zombi kulia tosi�

Ni mwendo wamonde na misosi�

Ikikushinda chonde usijifosi�

Sie mpaka ligonge la utosi�

Eti nilale nimlalie nani

Wakati pesa nimeishika ukubwani�

Nilaaale kwa usingizi gani

Wakati umaarufu nimeupatia ukubwani

Na wakiutaka motooo moto nawatembezea kifuu

Oosh! Kamata mutoto ghetto kifo cha mende miguu juu

Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba

Asa tingisha tingisha fanya ka unamwaga mwaga�

Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba

Asa tingisha tingisha eeh fanya ka unamwaga mwaga�


#CHORUS�

Sisi ni walevi tunakesha bar�

Tunatumia hela mpaka jua lianze ng�aa

Kama pombe we hauwezi hapa hapoto kufaa

Nenda meza za inzi kwa wenzako wanao shangaa�

Wenyewe tuna kikao�

Tuna kikao tuna kikao tuna kikao�

Eeeh! tupishe bwana (Wenyewe tuna kikao)

Tuondolee kelele (Tuna kikao)

Tupishe bwana (Tuna kikao)

Eeeh! tuna kikao


#INTRO�

Kama nikinywa mi nakukera shauri zako (Shauri zako)�

Kwani mifigo si ya kwangu mimi au ya kwako (Au ya kwako)

Eenh! kwani natumia ya kwangu hela au ya kwako (Au ya kwako)

Mtoto wa kiume punguza shobo utashikwa taaa! (Aaaahh!)

Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba�

Asa tingisha tingisha fanya ka una mwagamwaga�

Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba�

Asa tingisha tingisha eeh fanya ka una mwagamwaga

Jamani sisi ni waa�.

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status