Mola Nipe Mpenzi Lyrics
- Genre:Pop
- Year of Release:2024
Lyrics
Ni kama zamu yangu imefika
Ya kupata mchumba wangu
Nimekua nikimsakasaka
Akue wangu
Aki nikimpatapata
Ni karamu
Me nijibambe na ye
Jina langu
Nitampa akitakataka
Nia yangu nitamuonyesha eti kwamba
Hisia zangu
Zimekua zikiwakawaka
Ni filamu
Mimi nikiwa na ye
Na kusema kweli
Nimechoka kua bachelor
Kuna manzi flani
Ameanza kunipendeza
Ninamuonanga kwa ndoto
Kila day
Vile si hufanya me siwezi ata eleza
Sasa ninashindwa
Mbona mimi nikiamka
Mrembo simuoni
Ameamua kunihepa
Aki ya nani ukimwona mwambie
Niko kanisani magotini
Nikiomba
Mola nipe mpenzi
Wazazi wananipigia
Simu wakiulizia
Eti lini ninaoa
Mola nipe mpenzi
Jirani wanichekelea
Baridi inanimaliza
Sioni nikivumilia
Aaaaaaah
Aaaaaaaah
Na mimi nimejaribu sana kuwaambia
Wazazi eti manzi hawa wote ni bandia
Kwanza wale wa Mombasa
Naskia siku hizi
Wanahanya
Lakini me sitaki kuishi maisha bila dem
Kama mnaweza heri nyinyi mpange
Harusi nitaja mimi
Kama nimevalia suti
Naona hivi turudie
Mambo ya kale
Ni nini tuliahidiwa
Ndo tukasare
Msichana mwenye tabia nzuri sijamuona
Na bado ninaomba
Mola nipe mpenzi
Wazazi wananipigia
Simu wakiulizia
Eti lini ninaoa
Mola nipe mpenzi
Jirani wanichekelea
Baridi inanimaliza
Sioni nikivumilia
Aaaaaaah
Aaaaaaaah