Vitu Vingi Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2022
This song is not currently available in your region.
Lyrics
Vitu Vingi - Young Lunya
...
kichwa kina vitu vingi ,ila haimaanishi skupendi..
.........
Ni vitu vingi tu ,ila haimaanishi skupendi
..........
Kichwa kinavitu vingi , ila haimaanishi sikupendi
sitabiliki, siambiliki, ila haimaanishi skupendi eeyy. Shoga zako wanatabia za kishenzi, wananipakazia maushenzi , ila haimaanishi skupendi (uuuh!!)
kichwa kinavitu vingi (eyy!!), ila haimaanishi skupendi (baaoo!), sitabiliki , siambiliki ila haimaanish skupendi (uuu..!),shoga zako wanatabia zakishenzi (yeeeeh)wananipakazia maushenzi(baaoo!),ila hamaanishi skupendi (skrrrr)
Natoka nyumbani kwenda kutafuta, ili nyumban tusile hata daga, muda ni mchache mambo ni mengi, sitaki mtoto ulale na njaa, Pirka Pirka tunapikika na sio kitoto balabalaa, Naskia wengine sio wakishua vyema kupigana na mtaa. So, penyapenya kama pikipiki leta bager navi chipsichpsi na kuku kuku,Pipi pipi na matundatunda ndizi, matikiti , Na vijiti vipi ,Kila nachokifanya unakijua ntakuchiti Vipi
Shoga zako wanajifanya hawapendi Hao ndo ambao wanazimia mziki, nasiwapi nafasi na walia bati madem wengine wanini kujifanya mswati ndo maana saa nyengine natoka nyumbani bila ya kupiga mswaki na muda mwengne sitoi hata Kodi ya meza na toka kibati hapa watashindia maandazi ila nikirudi ni party
wengine wanasema wantaka, ila wao ndo wameja kwenye DM
Nawala hawachezi block, ila najifanya wao same
wajuze ya kwamba siwezi kujigawa moyo wangu
Kukaa kwao waambie , Mimi na wakwao waambie
Wewe ni wakwangu na kiboko ya mie ...
((( Kichwa kinavitu vingi, ila haimaanishi skupendi
Sitabiliki , Siambiliki , ila haimaanishi skupendi (eeyyy)
Shoga zako wanatabia za kishenzi , wananipakazia maushenzi,ila haimaanishi skupendi (uuu..!)》×2 )))
Kuku pakaza wewe,siwezi kubali , Kitu kingine nacho kipenda unanikubali alafu mwenyewe unajikubali Siatunakitu tutafika mbali , Ntakupeleka kwa mama akuone nimepeta mwali sasa muda mwengine kichwa kinapata moto maana hata ukitazama simu haziiti So inabidi nipunguze Chanda pesa kwenda Kuzitafuta kibishi ntajua mbivu ntajua mbichi
Nawe navokujua unapenda maupishi, Nywele, Pochi, Out kila wiki, Sasa tukipata deni la mziki,
Maneno ya kose ya puuze mpaka wakuone unanyodo
Nami sikuachi chini ya mpera nimeokota dodo
Action nyingi maneno kidogo naskia itakitena zogo bize kama tunakata gogo ndoto haziwezi kutimia kama muda ni mdogo walikuja wenye magari na nyumba na hawakukupata.Sasa inabidi nipambane kukupa chochote unachokitaka .
IPHONE sijui nini vitakataka, Nilete chochote utakacho kitaka ndo maana nakwenda mchaka ili babe akitaka baba anaipata
Wengine wanasema wananta, ila wao ndo wamejaa kwenye DM
Nawala hawachezi block, Ila najifanya wao same
Wajuze ya kwamba siwezi kujigawa moyo wangu kukaa kwao waambie ,Mimi na wakwao waambie
Wewe niwakwangu na kiboko ya mie.....
((( Kichwa kinavituvingi ,ila haimaanishi skupendi
sitabiliki siambiliki, ila haimaanishi skupendi (eeeyy.!)
Shoga zako wanatabia za kishenzi, wananipakazia maushenz ila haimaanishi skupendi (uuuww..)x2 )))
; END ;
lyric wrote By: Popmeazy
instagram :@Popmeazy