Medula Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2022
Lyrics
Verse 1
Give more usinipe kidogo,
Kwako nimezama me mazima,
Na kwenye moyo kuna yako logo,
Nimelichora lako jina
Natamani watu wote duniani wajue,
Vile unanichanganya tuweke kwa mtandao wajue hao jinsi tunavyopendana,
Aah aah medula umenichanganya ubongo,
Aah aah medula akili zimekua fyongo,
Aah aah medula umenichanganya ubongo,
Aah aah medula,
Chorus
Dololoooo dololoooo , unanichanganya na penzi lako mororooo,
yani kigugumizi no sey kwako dololoooo,
Mama weeh unanichanganya na penzi lako mororoooo,
Aki me kisiki sing’oki kwako.
Verse 2
Wakitazama move la leo,
wata enjoy kwenye kideo,
Style za kale na za kileo,
me mkulima we pembejeo,
Staki vimeo ufanani nao nishakuvisha yote mavyeo,
basi leo funga komeo tusitoke ndani mpaka majogoo,
Aah aah medula umenichanganya ubongo,
aah aah medula akili zimekua fyongo,
aah aah medula umenichanganya ubongo,
aah aah medula.
Chorus
Dololoooo dololoooo unanichanganya na penzi lako mororooo,
yani kigugumizi no sey kwako dololoooo,
mama weeh unanichanganya na penzi lako haki mororooo,
me kisiki sing’oki kwako.
Outro.....
tena kuanzia leo ooh naacha pilika moyo,
Najisitili jamani na magonjwa dunia,
tena kuanzia leo ooh naacha pilika moyo oooh najisitili jaman na magonjwa dunia ya leo.
Chorus
dolloooo dololoooo unanichanganya na penzi lako mororo,
Yani kigugumizi no sey kwako dololoooo,
mama weeh unanichanganya na penzi lako mororo,
haki me kisiki sing’oki kwako.