Masaa Zake ft. Kushman Lyrics
- Genre:Pop
- Year of Release:2022
Lyrics
Masaa Zake ft. Kushman - Benzema
...
Yoh
Leo sherehe imetuleta Kisumu city
tumekaribishwa tuna feel fiti
hewa inanuka samaki imekarangwa
alafu pombe tunakunywa si za kuchangwa
hii sherehe ya Leo ni kubwa
madem wanalewa na ma panty remover
eeh
Kuna msupa asha nikujia na lugha
(Nitakupigia face na nitalipia Uber)
Kuna mwingine ameshinda kwa kiti
si tuna dance lakini ye hakatiki
(siwezi katika kama Niko sober hizi pombe za Kisumu ni kama soda)
watu wangu
(eeh)
tuko hii sherehe Hadi saa ngapi
(masaa zake)
walevi wenzangu
(eeh )
mzinga tunafunga saa ngapi
(masaa zake)
ah masaa zake.. masaa zakee
masaa zake ..
tuko hii sherehe Hadi masaa zake
asubuhi walalo Ako jaba
na mi nafikiria kukata waba(maji)
of course tuna connect haraka(mbio mbio)
mastory Hadi usiku saa Saba(usiku)
masaa zake ndo tunaenda kulala(kudoze)
ambia Njeri apike njugu supper
Niko na jaba ,mbogi na Wi-Fi
(ka ni password ni Alehandro can get it)
na beba tu Ile blanketi kubwa
ndani ya klabu najifunika na msupa
na sound ya klabu ni ya probox
na bado Nita omba dj ox
watu wangu
(eeh)
mko hii sherehe Hadi saa ngapi
(masaa zake)
walevi wenzangu
(eeh)
mzinga tunafungua saa ngapi
(masaa zake)
ah masaa zake..masaa zakee
masaa zake
tuko hii sherehe Hadi masaa zake
Nairobi tuna party na commandments
ukishindwa ku obey unachujwa
ukilewa mapema unafukuzwa
na kaa huna ganji we ndio was kutumwa
umejiletea disaster
tutazima mziki upige bar mzima duster
this is a no go zone for code blockers
wanaume watiaji na ma show stoppers
alafu weka manzi Yako fitty
weka Chali Yako fitty
ka huna wako unadance na ukuta
hatutaki mafisi hapa utakula chupa
watu wangu
(eeh)
tuko hii sherehe Hadi saa ngapi
(masaa zake)
walevi wenzangu
(eeh)
mzinga tunafungua Saa ngapi
(masaa zake)
a masaa zake..masaa zakee
masaa zake
tuko hii sherehe Hadi masaa zake
ks on the beat