Shemeji Lyrics
- Genre:World Music/Folklore
- Year of Release:2022
Lyrics
Shemeji - Manengo
...
habari za siku ewe shemeji
habari karibu mgeni kwetu mwenyeji
safari imekuwa salama
kwetu pongezi ni muda hatujaonana imepita miezi
Dada angu mwenye kila sifa ghari
mwenye uwezo wa kumchanganya
kila aliekuwa rijal
ndo amefanya mpaka tumepanga safari
umewafata wakwe uje kutoa mahali
Ila kabla hauja timiza hadhima yako
Kuna Jambo mm ningetaka kujuza
kwanza nata kuuliza
penzi lenu Lin muda gan?
nahitaji jua Kama umemjua kiundani
coz hajatushinda sisi tu
walotest ndoa wamedumu nae wiki tuu
ye ni mzawa wa home Vita na mbwembwe
ukiwa ukawa Kama kawa ye ni kinda la membe
kwa kuwa mke dada angu hafai
kwa mapishi hajui chochote zaidi ya chai
pili anadai mikononi mkaa haumfai
utamwaribiaa kucha ata chakaa hang'ai
Gau havai vyake ni vimini na viskin bro
nguo mmpaka afuliwe na house geli
msosi awekee mezani maji atengewe bro
tena kwa wewe wa Iman dada hasali ng'0
haambiliki kitanda hatandikiika
tena ni bingwa wa michezo isiyo na mashabik
kitaani ana gengee la mashabiki
mashosti zao ni pombe na mafataki
shule tena hataki ye born town
we ni gari ye ni bams lazma UTA slow down
ye advance kuwa nae mpaka C tatu cotton
ka kesho mwenzangu una B flat
Ni kwl mungu kampa bonge la figa
Kama urembo ungekuwa kupaji angecheza LA LIGA
Ana vaa pendeza nenda disco cheza
sio kila merry bikira matendo yatajieleza
je una laki ya saloon lakin
Dada yangu jembe halimi mapaka atiwe mpini
kwenye kazi hakijitumi
na wazazi wamechoka
kunyonya Mara kumi kumi
huu sasa ni uhuni
mfano mkihaidi ata nyoka
izo ni mbio za sakafuni
kwann nimseme ndugu wa damu kwann
tabia ni anike uzifahamu
lkn kwann nisimuache atabasamu
kwenye tamu ya ndo na kwake ikafika zamu
mm kwakua tu naipenda feature yako
we mwambie apige pasi Kama umechoka ndoa yako...........