Let Me ft. Sauti Sol Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2021
Lyrics
Let Me - Alikiba
...
Yeah
(Yogo on the....)
Aah eeh umependeza sana
Wazidi kuniteka mzuri zaidi ya jana
Hata ungekuwa na kasoro tungefanana
Nimekupata wewe mapenzi ya rabana
Wala si utani nikipanga plan huendani
Shida ya shetani yawatume tuwe tafrani
Hao punguani hawajui tu kiundani
Basi nikupe imani mbaya mie wako maishani
Mama yeah yeah, pasha
Bado movie iyo kasha
Nizalie na mapacha
Naomba usahau kubwaja
Mama yeah yeah, pasha
Bado movie iyo kasha
Nizalie na mapacha
Naomba usahau kubwaja
Let me say, chaguo langu ni-we wewe
Let me pray, nitakufa na wewe nitadead na wewe
Niko tayari me oh, me oh, ooooh
Niko tayari me oh, me oh, eeeh
Niko tayari me oh, me oh, eeh
Niko tayari me oh
Niko tayari me oh, me oh, me ooooh
Oyoyoyo....Oyoyoyo
Ya Mungu ni mengi
Sikudhani nitapata penzi nimependa wengi
Nilikuwa uwanjani lakini nimevua jezi
Nikang'oa nanga kwenda Bongo nikafika Mbenzi
Nikuonyeshe
Aliye na macho haambiwi tazama
Yaani toto kaumbika kukukosa itakuwa lawama
Eh na palipo na nia pia pana njia
We ndo wangu malkia tena taji nishakuvisha
Ale mama yooo yooo (Washa)
Na mahaba yote (Washa)
Ni zawadi nimepata
Roho imelia mbwata
Aya yooo yooo (Washa)
Na mahaba yote (Washa)
Ni zawadi nimepata
Roho imelia mbwata
Let me say, chaguo langu ni-we wewe
Let me pray, nitakufa na wewe nitadead na wewe
Niko tayari me oh, me oh, ooooh
Niko tayari me oh, me oh, eeeh
Niko tayari me oh, me oh, eeh
Niko tayari me oh
Niko tayari me oh, me oh, me ooooh
(Added by Fidelisbzm01)