Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2021

Lyrics

No One Knows ft. Willie Oeba & Bear Beatz_ - Nacha

...

wah

nyasubi ndani ya mbanyu

wamechokoza bea

ooooh ooh

bado tuna muda aaaah (muda muda) muda wakumulika kwenye giza aaah (giza giza aah) eeeh no one knows tomorrow tunaishi ila kuna nyingi kasoro hahaha haha auuuh eeeh look at ma success you can beleive it

mafanikio yanahitaji kuamini so beleive it every single day you get a little real better

nachohakikisha ni kufanya zama zazamani kuwa new error¿

life becomes easy ukikubali kupochea changamoto mafanikio hayako mbali

nikama mtembea kwa miguu ndo anaejua umbali wa safari incase you do'know struggle ni aina ya mafunzo

incase you do'know uzuri wa mwanamke nitabia na sio umbo

kibaya ni kwamba maisha ni kama penalt ukiga mara moja ukikosa mwamuzi hakwambii urudie tena the same na uhai tunaishi mara moja pumzi ikiata hupumui tena vumilia teseka kuwa na uvumilivu vitu vikubwa vina take time chamsingi work hard work smart pasi na uvivu utalala njaa ukiishi nchi ya vipara nawe si ni msusi sababu kukatishwa tamaa na kukubali kukatishwa tamaa ni vitu viwili tofauti na hatujawah kujiamini kila wakati thats why fears our constant companion kitakacho niumiza sio kuanguka bali ni ni kushindwa kunyanyuka kila ninapo anguka

ukuaji huja kupitia juhudi na mapambano endelevu

ukubwa hupimwa kwa fikra na sio ndevu

kumbuka kwamba kwenye nyakati ngumu ndio utajua nani rafiki wa kweli

na nani huwa unahisi kuwa ni rafiki wa kweli no matter what keep pushing foward keep struggling siku njema zinakuja mbele katika maisha ya kila mwanadamu hakuna uhakika wa kurudi

tunachotakiwa kufanya ni kukubali ukweli na hakuna budi and am (nglad)¿ sababu hata nikinuna maisha hayawezi kubadilika huo ndio ukweli nimafaniko pekee ndio yatakayo kuepusha na zao kejeli we as human am not been to satsfied completely so keep pushing ma G coz ukimtegemea mwanadamu forever you will be living in a world of (regreten)¿ dissapointment never give up


bado tuna muda aaah (muda muda)

wakumulika kwenye giz aaah (giza aaah gizaaa) eeh

no one knows tomorrow tunaishi ila kuna nyingi kasoro hahaha haha eeeh ouuuuh


apart from time prays the sence untill upsence

yako iwe gift kwao they dont value your presence

nina mashida kibao lakini siri izo ni enough kuwa am greatfull huwa tuna wa spire kukuwa better lakini tunasahau how we hard to pre to get where we currently oooh lord am thankfull greatness huanza na dream but rally stim ya nyuki ndio reason na appriciate sweetness asali kubali kama sio moms prays hizi struggle zingekuwa zimetumaliza nahata ukuwe mzuri binadamu ni wakusahau yesu walimuuwa ju alitenda miujiza nimejaribu ku billrelatioship days on trust za mafarisayo hapa duniani wananikumbusha hamna urafiki kuliko wa pesa had ile siku ntakufa mimi sikufi moyo afdhali tufe njaa mahindi ni mateso kwa kibogoyo na mzazi akikunyima wembe ana kushow love si uchoyo life ni struggle na kila mtu ana yake the best things in life are not things their people na mnikumbuke hata ile mtanibadilishia jina na kuniita mwenda zake na serekali sio ya kutusaidia ila ni ya kulinda tabaka si walio msurubisha yehova ndio sasa wanasherehekea pasaka na mna kumbushwa ufisadi serikalini sio kosa lakini kuongea dhidi ya huo ufisadi ndio kosa africa shida sio pesa akili ndio tunakosa vijana wahana ajira lakini lengo ni ku keep them poor but by them cheaper kwetu tumeua utaifa ili tujenge ukabila naujinga ni kukosa kuishi ju unaogopa sana kifo uwoga hauzuii mauti utakufa tu kwanza kifo kinapenda waoga sana nasema majaribu ni mengi wew omba sana anaezoea kupewa akianza kujifatilfia ndio ale hashibi struggle ni ile ile uwe nakuru ama nyasubi


bado tuna muda aaah (muda muda)

wakumulika kwenye giz aaah (giza aaah gizaaa) eeh

no one knows tomorrow tunaishi ila kuna nyingi kasoro hahaha haha eeeh ouuuuh (kukatishwa tamaa na kukubali kujatishwa tamaa ni vitu viwili tofaut) (afadhali tufe njaa mahindi ni mateso kwa kibogoyo ) na hatujawah kujiamini kila wakati thats why fears our constant companion anaezoea kupewa ndio ale akianzaa kunitehemea hashibi struggle ni ile ile uwe nakuru ama nyasubi




bado tuna muda aaah (muda muda)

wakumulika kwenye giz aaah (giza aaah gizaaa) eeh

no one knows tomorrow tunaishi ila kuna nyingi kasoro hahaha haha eeeh ouuuuh

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status