Wastahili (Live) ft. James Payovelah Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2021
Lyrics
Uliyechinjwa
Uliyeshinda
Ukadhihirisha mamlaka yako
Ukanunua kila kabila, kila taifa
Kwa damu yako
Uliyechinjwa
Uliyeshinda
Ukadhihirisha upendo wako
Ukanunua kila kabila, kila taifa
Kwa damu yako
Wastahili Bwana
Bwana, Bwana
Wastahili Bwana
Bwana, Bwana
Uliyechinjwa
Uliyeshinda
Ukadhihirisha mamlaka yako
Ukanunua kila kabila, kila taifa
Kwa damu yako
Uliyechinjwa
Uliyeshinda
Ukadhihirisha upendo wako
Ukanunua kila kabila, kila taifa
Kwa damu yako
Wastahili Bwana
Bwana, Bwana
Wastahili Bwana
Bwana, Bwana
Twakuabudu Bwana
Bwana, Bwana
Twakuabudu Bwana
Bwana, Bwana
Twakuinua Bwana
Bwana, Bwana
Twakuinua Bwana
Bwana, Bwana
Uliyechinjwa
Uliyeshinda
Ukadhihirisha mamlaka yako
Ukanunua kila kabila, kila taifa
Kwa damu yako
Uliyechinjwa
Uliyeshinda
Ukadhihirisha upendo wako
Ukanunua kila kabila, kila taifa
Kwa damu yako
Wastahili Bwana
Bwana, Bwana
Wastahili Bwana
Bwana, Bwana
Wastahili Bwana
Bwana, Bwana
Twakuabudu Bwana
Bwana, Bwana
Twakuabudu Bwana
Bwana, Bwana
Twakuabudu Bwana
Bwana, Bwana
Wastahili Bwana
Bwana, Bwana
Twakuinua Bwana
Bwana, Bwana
Twakuabudu Bwana
Bwana, Bwana
Bwana, Bwana
Bwana, Bwana
Yesu, Yesu
Yesu, Yesu
Yesu, Yesu
Yesu, Yesu
Yesu, Yesu
Mfalme, Mfalme
Mfalme, Mfalme
Baba, Baba
Baba, Baba
Unayestahili ni wewe
Tunayekuabudu ni wewe Yesu
Ooh ooh
Unayestahili ni wewe
Tunayekuabudu ni wewe Yesu
Ooh ooh
Unayestahili ni wewe
Tunayekuabudu ni wewe Yesu
Ooh ooh
Unayestahili ni wewe
Tunayekuabudu ni wewe Yesu
Ooh ooh
Unayestahili ni wewe
Tunayekuabudu ni wewe Yesu
Ooh ooh
Unayestahili ni wewe
Tunayekuabudu ni wewe Yesu
Ooh ooh
Unayestahili ni wewe
Tunayekuabudu ni wewe Yesu
Ooh ooh
Unayestahili ni wewe
Tunayekuabudu ni wewe Yesu
Ooh ooh
Unayestahili ni wewe
Tunayekuabudu ni wewe Yesu
Ooh ooh
Unayestahili ni wewe
Tunayekuabudu ni wewe Yesu
Ooh ooh
Unayestahili ni wewe
Tunayekuabudu ni wewe Yesu
Ooh ooh
Unayestahili ni wewe
Tunayekuabudu ni wewe Yesu
Ooh ooh
Unayestahili ni wewe
Tunayekuabudu ni wewe Yesu
Ooh ooh
Wastahili Bwana
Bwana, Bwana
Twakupenda Bwana
Bwana