Just Sing Lyrics
- Genre:Alternative
- Year of Release:2016
Lyrics
Imbaaaa
Do re mi fa so la ti do
Wewe uliye tasa
Wewe usiyezaa
Paza sauti yako kwa kuimba piga kelele
Wewe usiyekuwa na utungu
Panua mahali pa hema yako Paza sauti yako kwa kuimba piga kelele
Usiogope
Maana hautatahayarika
Wala usifadhaike
Maana hutaaibika
Kwakuwa utaisahau aibu ya ujana wako
Pia mashutumu ya ujane wako
Hautayakumbuka tena
Usiogope
Maana hautatahayarika
Wala usifadhaike
Maana hutaaibika
Kwakuwa utaisahau aibu ya ujana wako
Pia mashutumu ya ujane wako Hautayakumbuka tena
Bwana wa majeshi ndilo Jina lake
Na Mtakatifu wa Israel
Ndiyo Mkombozi wako
Bwana wa majeshi ndilo Jina lake
Na Mtakatifu wa Israel
Ndiyo Mkombozi wako
Utathibitika katika haki
Utakuwa mbali na kuonewa
Kwamaana hutaogopa na mbali na hofu
Kwamaana haitakukaribia
Usiogope kwa maana Mimi ni pamoja nawe usifadhaike
Kwamaana Mimi ni Mungu wako
Nitakutua nguvu naam nitakusaidia naam nitakushika kwa
Mkono wa kuume wa haki yangu
Usiogope
Maana hautatahayarika
Wala usifadhaike
Maana hutaaibika
Kwakuwa utaisahau aibu ya ujana wako
Pia mashutumu ya ujane wako
Hautayakumbuka tena
Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa
Maana milima itaondoka, na vilima vitaondolewa
Bali wema wangu hautaondoka kwako
Utathibitika katika haki; utakuwa mbali na kuonewa
Kwa maana hutaogopa; na mbali na hofu, kwa maana haitakukaribia.
Usiogope
Maana hautatahayarika
Wala usifadhaike
Maana hutaaibika
Kwakuwa utaisahau aibu ya ujana wako
Pia mashutumu ya ujane wako
Hautayakumbuka tena