Nimependa Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2021
This song is not currently available in your region.
Try the alternative versions below.
Alternative versions:
Lyrics
Nimependa - Guardian Angel
...
*****..........................****mi sijuti mi sijuti kupata wokovu ni ngali kijana aah eee.... nimepata Amani iliyo ya kweli Amani ambayo sikupata kwingine mungu ninaye juvunia si mungu niliesikia ni mungu ambaye nimeona akitenda (kwake napata Raha kila kitu nafanyiwa sioni hasara mungu ananipenda.......)
nimependa penda...nimependa.... (nimependa) nimependa unavyonipendeza
kuna changamoto hutokea katika safari ya wokovu kila Mapito yako yanatendeka Kwa wema piga simu pigia rafiki zako simu wote leo uwaambie unashida Sana unhitaji sapoti... ukimaliza pigia na mungu wako goti kisha naye umwambie unashida Sana unhitaji sapoti.... hapo ndipo utaona Nani anakujalia atakaye kusaidia aah eeh.....
(Kwa mungu wangu napata raha kila kitu nafanyiwa ni na Imani kwamba mungu ananipendaaaa.....)
nimependa penda nimependa.... nimependa (nimependa) unavyonipendeza......
(maandiko yanasema mukumbuke mungu muumba wako ungali kijana bado unanguvu.)........ usijidanganye eti bado ungali kijana unavunja mifupa mifupa kuokoka ni uzeeni (Kwanza kufika uzeeni siku hizi ni majaliwa....aaahh eeeh maisha ni mafupi Sana muishie mungu.....)
(nimependa penda (nimependa)..... nimependa unavyonipendeza)....... nimependaaa.......****estheriz***