Yote Yatajiri Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2021
Lyrics
Yote Yatajiri - Slimsal
...
Unayoyatami yote yatajiri
Ndoto za maninja ni, kuja kutembea na all stars
Wakati mtaani Kuna sister ambaye, ashatembea na all stars
Oscar, anamwota wolper, wolper anaiota Oscar
Oscar haendani na wolper, na wolper haendani na Oscar, wakikutana watakua dream team, so obvious wataendelea kuota, sjui Nani awaambie don't sleep, wake up and focus
We unataka kuwa aliko Dangote, na Dangote nae anataka kuwa Aliko Dangote, awotee
We unataka kuwa aliko Dangote, na Dangote nae anataka kuwa Aliko Dangote, na isitoshe
Unayoyatami yote yatajiri, Ila mmoja lazma awe juu mwingine chini
Na aliye juu, usimfate juu, sababu aliye juu ni Mungu tu (Mungu Tu)
Uspende Sana kutolea macho kila kitu tu, sababu Kuna vitu vingine ni vitunguu
Unayoyatami yote yatajiri, (go on)
Endelea endelea endelea, (kuota)
Unayoyatami yote yatajiri, (go on)
Endelea endelea endelea, (kuota)
Unayoyatami yote yatajiri, (go on)
Endelea endelea endelea, (kuota)
Unayoyatami yote yatajiri, (go on)
Endelea endelea endelea, (kuota)
What's my name? what's my name? Slimsal.
And what you want? what you want? Go fast.
Heh, heh! eyy tunchi. unataka niende fasta, weka mtu blind. Let's go!..
Mi siuzi sura Wala Sina sura mbaya Wala sinunui sura sitadroo ya malaya hata Kama visura wanauza sura Bei mbaya sura zao zikiziona zetu zinaona haya
Masudi sura mbaya mwenye pesa Hana sura mbaya sura nzuri bila pesa hiyo sura mbaya
Wataonuna wakiniona hili sura haya, sura mtazikunja mpaka zitagusa taya
Suruali lenye pesa limetuna mbaya, ssuruali bila pesa inanuka mbaya, suruali bila pesa kanavokupwaya, ukiweka pesa ndani kanakua sawa
Sisi site tuko sawa, sawa e, Ila hatuko sawasawa
sawa sawa eh, Sawasawa na kusema sawa kumbe sio sawa, Sawa na kutaka usawa ccm na ukawa na mkawa mnabishana kwa vibanda vya kahawa kuhusu Mimi we wi, yule wale hawa Kama kawa Kama dawa sumu ni sumu ni dawa Kama sumu sio sawa dawa yangu sumu dawa
Unamchukia Osama unamchukia Obama, unamjua Osama ndevu kuliko mambo ulifanya, ukimjua kwa kirefu unaeza kuwa ka Obama. Utachana na kuachana huwezi kuwa Kaobama, Hujui ya kwamba mwanga ndie mwenye nguvu za Giza, na Giza likishatanda ndo mwanga unaeza katiza, asubuhi mchana mwanga na Kisha usiku ndo Giza, ka' unataka kumwona mwanga subiria kiza
Ukawa unasema tuondoke haututaki, mi nikawambia washkaji zangu ccm tubaki
Unayoyatami yote yatajiri, (go on)
Endelea endelea endelea, (kuota)
Unayoyatami yote yatajiri, (go on)
Endelea endelea endelea, (kuota)
Unayoyatami yote yatajiri, (go on)
Endelea endelea endelea, (kuota)
Unayoyatami yote yatajiri, (go on)
Endelea endelea endelea, (kuota)