Kidani Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2020
This song is not currently available in your region.
Try the alternative versions below.
Alternative versions:
Lyrics
Kidani - Ben Pol
...
I wish unipende, unichunge
Nisiende kwengine,
Tena unifunge
Unifumbe na macho nisione mwingine
Mmmh
Naheshimu maamuzi
Hisia kuwa nawe
Usinifanye nijutie
Nionekane mpuzi dunia unishangae
Penzi langu
Nahifadhi mapenzi tuyafanye baadae
Penzi lako utamu wa asali, baby nipe
Nikabidhi nipe kibali, kwa mbwembwe ni tamu
Penzi tamu asali, ooh baby nipe
Nikabidhi nipe kibali
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Unajua we ndo dawa
Mwenzako nikiugua,
Kukukosa nachachawa
Bila shaka unajua
Tena, kwako mimi si chochote
Sisikii sioni, sijiwezi kwa lolote
Maneno ya nje tusije yapa mwanya
Oooh my love, fikisha kipimo usijeyagawanya
Oooh my love, heshima, upendo na kudhaminiana
Oooh my love, tufike malengo tukishirikiana
Penzi lako utamu wa asali, baby nipe
Nikabidhi nipe kibali, kwa mbwembwe ni tamu
Penzi tamu asali, ooh baby
Nikabidhi nipe kibali
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ooh ooh, nalala, nalala
Nalala, nalala, nalala, nalala