Walimwengu Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2020
This song is not currently available in your region.
Try the alternative versions below.
Alternative versions:
Lyrics
Walimwengu - Ben Pol
...
Mwali wa Dodoma chotara wa Nairobi-Kenya Nitakulinda kwa panga bostola wasije ninyang’anya
Vijipesa navyokupa kukuhonga honga
Uvitunze vizuri
Nataka tujichange tununue kagari
Tuwe na usafiri
Na tufanye juhudi
Kiroba cha unga tuwe nacho ndani
Vichenji vikirudi kutoka dukani
Tuweke kibabani
Mchawi anaua alafu analia
Walimwengu jamani
Muda nakupotezea, nakuchezea
Utaskia wakisema
Hao walimwengu, hao walimwengu
Hao walimwengu, hao walimwengu
Hao walimwengu, hao walimwengu
Asa twende kongwa tukatembee
Tinge moka koti la kitenge
Gauni la maua upendeze
Jioni turudi kwa Itembe
Furaha yetu yawatesa, maumivu kwao
Wanatapa tapa wanakerekwa, wana wivu hao
Wanakaa vikao visivyoisha, imekula kwao
Wanafanya kazi ya kanisa, kudadeki zao
Asa bam bam bam
Kama unainama bam bam bam
Fanya kuchutama bam bam bam
Zishaendana dam dam dam dam
Asa bam bam bam
Kama unainama bam bam bam
Fanya kuchutama bam bam bam
Zishaendana dam dam dam dam
Mchawi anaua alafu analia
Walimwengu jamani
Muda nakupotezea, nakuchezea
Utaskia wakisema
Hao walimwengu, hao walimwengu
Hao walimwengu, hao walimwengu
Hao walimwengu, hao walimwengu
>THE MIX KILLER<