Mungu Amenihurumia Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2020
Lyrics
Mungu Amenihurumia - Godwin Ombeni
...
Mungu amenihurumia
Tendo hili kubwa sana
Siku stahili jambo hili
Nimelipata bure tu
/:Sasa najua haya yote,
:/Sasa najua haya yote
Nasifu huruma yake,
nasifu huruma yake
Nalistahiri kupotea,
Lakini nahurumiwa.
Mungu amenipatanisha
na yeye Kwa Yesu Kristo.
/:Hivi vyote vyatoka wapi?:/
/:Nasema ni huruma tu:/
Jambo hili lenye huruma
nitalisifu Daima.
Nalihubiri siku zote,
nikiulizwa na watu.
/:Ndilo furaha yangu
Kubwa,:/
/:nalingojea,nikiwa.:/
Huruma hii ni kubwa sana,
nitaisifu daima.
Naitafuta nikiomba
nategemea hiyo tu.
/:Sababu hii navumilia,:/
/:naingojea,nikifa.:/
Mungu mwenye huruma nyingi
usininyime huruma.
Mimi ni mkiwa,nipeleke
Kwako Kwa kufa Kwa Yesu.
/:kule mbinguni nitakutumia,:/
/:huruma yako milele.:/