Alivyonipenda ft. King Kaka Lyrics
- Genre:Afropop
- Year of Release:2016
Lyrics
Alivyonipenda ft. King Kaka - Otile Brown
...
Saa zingine anayekupenda humpendi
Unapenda mwingine anayependa mwingine
Hata usiompendaga (nouhuhu)
Na kila mtu anataka typu yake
Za zingine hata wale wenye hadhi na sisi
tunawakataaga (nouhuhu)
Oo na vile
Chorus
(Alivyonipenda yule alivyonipendaga
Alivyonipenda yule sikujali nikamuaga) X2
Yule aliyenipenda bure, oh nikamwacha kwa jili yake yule
Aliyefwata pesa na zenyewe sikuona maana
Kweli macho yalinihadaa, aki macho yalinihadaa
Alivyo nipenda kwa bidii kazidi kunionya sisikii
Urembo pekee hauridhishi, oh inahitaji zaidi
Typu yangu, ni yule anayejua dhamani ya penzi langu (penzi langu)
Typu yangu, ni yule anayenienzi (anayenienzi)
Ina maana gani, uwe na msichana mrembo dunia mzima
Na hakupendii
Ina maana gani, uwe na mume mwenye hela chungu nzima
Na hakudhamini
Chorus
(Alivyonipenda yule alivyonipendaga
Alivyonipenda yule sikujali nikamuaga) X2
King kaka, alright
Alikuwa wangu Wahu wakati nilikuwa nameless
Nikimwona nasinzia ka nameless
Uko? ntakuja kalesa
Love ilikuwa genuine than leather
True na huyu we started kitambo
Wakati skuma mezani was diambo
Wakati stima kwangu was candle
Wakati birthday yake haikuwa na keki
Wakati nikisota alinipiga jeki
Nikachanganyikiwa na rangi ya thao
Yangu ikafunguka club ya ubakao
Leo Macha kesho Coast tunakacha
Tilizidocument snapchat, niko empty
Nammiss kishenzi, alinipa ya kweli mapenzi
Lonely!
Nammiss alivyonipenda
Alivyonipenda yule alivyonipendaga
Alivyonipenda yule sikujali nikamuaga
Mzugaga nampenda ka mzugaga
Mzugaga nampenda ka mzugaga
Alivyonipenda yule oh yule alivyonipenda
Alivyonipendaga