Hawezi Kukusahau Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2020
Lyrics
Hawezi Kukusahau - Christopher Mwahangila
...
....................
(oooh)
Bali na kwamba Daniel alikua katikati na simba wenye njaa kali...
(oooh)
Bali na kwamba shedrak na Abedinego walitupwa kwenye tanulu la moto...
watu wakajiuliza sana tulitupa watatu wanne ametoka wapi Asikali wakajiuliza tulitupa watatu wanne ametoka wapi.....
Kumbe ....katikati ya taabu Mungu yupoo
katikati ya mateso Mungu yupoo,
katikati ya taabu zako Mungu yupoo,
katikati ya vita kubwa Mungu yupoo,
hawezi kukusahau,hawezi kukukimbia,
Ooh Mungu wetu,, hawezi kukusahau.
(CHORUS)
Mungu haweezi,(Ooh Mungu Mungu) haweezi(Ooh Mungu Mungu) hawezi kukusahau
(hawezi kuacha ujifie mwenywe )Mungu hawezii,hawezi ,hawezi kukusahau) Usife moyo ndugu yangu weeeeh eeeh)
Mungu hawezi, (Oooh Mungu Mungu)hawezi hawezi, kukusahau,
usikate tamaa wewee) Mungu hawezi (usirudi nyuma)hawezi(usinung'unike)hawezi kukusahau
usijione uko pekee yako) aaaaaaaaaah...
.................
Kwanini umepanga kujiua we,
kwanini umepanga kuikana imani yako
kwanini umepanga kuenda kwa waganga wajeuri
umehangaika sana ndugu yangu
ooooh unaona kama dunia zima umeachwa pekee yako..unaona kama dunia zima umeachwa pekee yako..ninalo neno nataka kusema na wewe ninalo neno nataka kuzungumza na wewe.
Hata upitie shida ndugu yangu,
hata upitie magumu,ndugu yangu
Mungu yuko na wewe kati kati ya majaribu,
Mungu yuko na wewe kati kati ya magumu,
Mungu yuko na wewe usikate tamaa
Mungu yuko na wewe usipange kurudi nyuma,
Mungu weeeh,hawezi kukusahau,Mungu weeeh hawezi kukukimbia,Mungu weeeh hawezi kukuacha wee,, hawezi ,hawezi, hawezi mungu
(CHORUS)
Ninataka nikutie moyo mama yangu weeeh
ninataka nikutie moyo,baba yangu weeh
ninataka nikutie moyo ndugu yangu wewe
Mungu hawezi,hawezi kukusahau
Ninataka nikutie moyo, mama yangu wewe
ninataka nikutie moyo,baba yangu wewe
ninataka nikutie moyo, ndugu yangu wewe
Mungu hawezi kukusahau,
wanadamu wanaweza kukusahau lakini sio Mungu,lakini sio Mungu.
wanadamu wanaweza wakakukukimbia
lakini sio Mungu,lakini sio Mungu..oooh
wanadamu wanaweza wakakutenga
lakini sio Mungu
wanadamu wanaweza wakakukataa
lakini sio Mungu,lakini sio Mungu
Hawezi Mungu wangu, Hawezi Mungu wangu..
(CHORUS)
.......................
THANK YOU.