Mwambie Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2019
Lyrics
Mwambie - B2K Mnyama
...
Arudi nyumbani mabaya aliyofanya imesha vutwa
....................,,,,,,,
Isokisirani
Umesahau tulipotoka zama, zarau na mateso tuliopitia ndani, nkakutukana ujapita wema, wakati ata y’a pesa siezi kuacha ndani
Nakama ni maisha magumu
Nilivumilia ili tu pendane
Ingawa mwisho waku laumu nili vumilia wewe
Na ukisema hunipendi njo itaniuma mwenye mwenzio,
Ili vurugu la mapenzi nalichukia mimi mwenziyoeee
......
Mwambie arudi nyumbani mabaya alioifanya isha vutwa (x4)
Some time zangu najifungia ma pombe na bangi , yote ilikuwa sababu yakoeee
Sasa pale napokuona munyongo
Namisivile vilivyonifanya nikuzoeye
Penzi letu halija kimbia njo mwendo kwenye sulumia