Loading...

Download
  • Genre:Gospel
  • Year of Release:2018

Lyrics

Nimewasamehe - Solomon Mkubwa

...

nilipokuwa mtoto, nilizaliwa kama wewe

viungo vyote vya mwili vilikuwa kama wewe,

ghafla ya dunia mamno yakageuka

nikajikuta kiungo kimoja kimeniondokea

mimi nikajua kuwa mwisho wa mambo yote umefika

wala sifai, nikaona dunia imenitupa, nikaona dunia imenidharau nikajidharau mwenyewe

nikajua sasa mimi sifai tena

niliwanung'unikia wote waliohusika

kwa haya mambo roho ya kisasi ikaja juu yangu

nikajua sasa na mimi nitalipa kisasi

kumbe kunae Mungu, Mungu wa visasi

akaniambia Solomon nina mpango na wewe

lazima piga hatua uwasamehe kwanza

ooh nikabishana na Mungu wote walionitendea mabaya

mimi siwezi wasamehe moyoni mwangu

bwana akaniambia wataka nitumike na wewe

nina ahadi nzuri na wewe, kuhusu dunia hii

ukitaka nitumike na wewe, waachilie wote

uliowaweka moyoni mwako, nikapiga hatua

nikawasqmehe wote walionikosea bwana akatumika na mimi ooh, ooh

nimewasamehe wote , nimewasamehe wote

nimewasamehe kutoka moyon mwangu

nimewachilia wote, nimewachilia wote

nimewachilia kutoka moyon mwangu

nimewasamehe wote, nimewasamehe wote

nimewasamehe kutoka moyoni mwangu

nimewachilia wote nimewachilia wote

nimewachilia kutoka moyon mwangu

tumekunywa damu,damu ya yesu tumekula na mwili wa yesu,

mwili wa yesu ni msamaha,tujikane wenyewe

mara nyingi tumeonekana wajinga duniani

dunia imeshindwa kutuelewa wakristo

umetendewa mabaya, lakin neno linasema

kubali nenda kaomba msamaha

kikawaida ya dunia,ukinitendea mabaya

lazima ooh iyeleweke, lakin kwetu sisi wakristo

ukinitendea mabaya mimi lazima nikusamehe

sababu nisipokusamehe, baba yetu wa mbinguni na yeye hawezi nisamehe, haijalishi unapitia nini

kama wewe umeokoka uwasamehe walio kukosea usifanye moyo wako jela

kuwafungia watu amua leo uwaondoe

ili Mungu wetu akubaliki, samehe jiran yako mungu na yeye atakusamehe

nimewasamehe wote, nimewasamehe wote

nimewasamehe kutoka moyon mwangu

nimewachilia wote nimewachilia wote

nimewachilia kutoka moyon

nimewasamehe wote, nimewasamehe wote

nimewasamehe kutoka moyon mwangu

nimewachilia wote nimewachilia wote

nimewachilia kutoka moyon mwangu

nivigumu jaman mara nyingi

kuna mambo ambayo tunayapitia

mwenzako mwanadamu anakupitisha kwa mambo mazito lakin unapaswa ufanyeje

ashukuriwe Mungu sababu neno la Mungu linasema tusamehe tu, na tulivaa mwili wa yesu

tumekunywa damu ya yesu, kumbuka msalaban yesu aliwaponya watu, viwete wakatembea

mabubu wakaongea, akawalisha watu

zaidi ya elfu tano, lakin wale watu ndio walimuweka msalabani, msalabani akasema baba uwasamehe, kumbuka stephano, stephano alikuwa anapigwa mawe, alivyokuwa anapigwa mawe, biblia inasema, staphano akamwambia baba uwasamehe, maana hawajui wanalolitenda

na biblia inasema stephano akaona mbingu zinafunguka kwenye msamaha kuna nguvu

kwenye msamaha kuna uwezo stephano hakujali twna mawe wanayomtupia, wanayomchapa

lakini stephano alikuwa ameona mbingu

zinafunguka na tayari anakwenda kupokelewa

samehe jiran yako, kusudi uone mkono wa Mungu usimfungie kwenye moyo wako

utakuwa umejizuilia baraka yako

msamehe mwachilie tu maan tulivaa mwili wa yesu, na tumekunywa damu ya yesu

ooh yesu tusaidie kuwasamehe waliotukosea

mmh pengine una watu ambao umefungia moyoni na hutaki kuwasamehe

nakwambia leo fungua moyo wako ili Mungu wa mbinguni akusamehe

usijiwekee vikwazo, maisha ni mafupi

yesu yu karibu kuja, uwasamehe wote

waliokukosea ili uone mbingu ooh

hatujui ya kesho yakesho ni ya Mungu

fungua moyo wako leo, yule ulie mkopa ela

kashindwa kurudisha, sasa leo amekutusi eeh

na yeye umsamehe, uwe safi mbele ya Mungu

yesu yu karibu kuja, uwasamehe wote

nimewasamehe wote, nimewasamehe wote

nimewasamehe kutoka moyon mwangu

nimewachilia wote nimewachilia wote

nimewachilia kutoka moyon mwangu

nimewasamehe wote nimewasamehe wote

nimewasamehe kutoka moyon mwangu

nimewachilia wote nimewachilia wote

nimewachilia kutoka moyon mwangu

nimewasamehe wote nimewasamehe wote

nimewasamehe kutoka moyoni mwangu

nimewachilia wote nimewachilia wote

nimewachilia kutoka moyon mwangu

nimewasamehe wote nimewasamehe wote

nimewasamehe kutoka moyon mwangu nimewachilia wote nimewachilia wote

nimewachilia kutoka moyon mwangu

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status