Makasia Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2022
Lyrics
Makasia - Joh Makini
...
Piga makasia hakuna mtu wakumpasia
(Piga makasia wewe)
Piga makasia hakuna mtu wakumpasia
( Piga makasia)
Piga makasia hakuna mtu wakumpasia
(Piga makasia wewe)
Piga makasia hakuna mtu wakumpasia
( Piga makasia)
Ati ooh wakubwa hawasaidii madogoo
Kumbukeni wakubwa walianzaga wadogo
Mara oh anabebwa na baba ake mdogo
Na baba ake mdogo
Turudi nyuma kidogo
Alianzaga pamoja na baba ako mdogo
So ni kama pale kwenu forcus ni ndogo
Face mattizo yako husiyape kisogo
Yaingilie kimbogo fikiria kifogo
Maumivu kidogo yanamalipo kidogo
Acha kuita watu mabisho bwana mdogo
Wakati hauwezi kua bishoo ata kidgo
Waliokata kuni ndo wanamiliki vigogo
Piga makasia hakuna mtu wakumpasia
( Piga makasia wewe)
Piga makasia hakuna mtu wakumpasia
( Piga makasia)
Piga makasia hakuna mtu wakumpasia
(Piga makasia wewe)
Piga makasia hakuna mtu wakumpasia
(Piga makasia)
Acha kutia huruma tia bidii
Acha kuleta lawama sio CV
Chuki zidi ya walifanikiwa haisaidii
Sioni vipi utabarikiwa kama haujisaidii
Ata bebe club zitakufanya uwe pamd
Juu pale Kaunta mzee uzungushi maround
Ukija shtuka walisepa watoto
Wana hawashiki sim kama za moto
Dawa ya moyo si nikweli ni moto
Lea watoto si ulipeleke moto
Wewe shida zina wenyewe uelewe
Maskini tajiri husilewe
Ukadhani za mwenzako ni ndogo kushinda zako wewe
Mtumbwi ukizama utazama wewe
Wewe
Piga makasia hakuna mtu wakumpasia
(Piga makasia wewe)
Piga makasia hakuna mtu wakumpasia
Piga makasia
Piga makasia hakuna mtu wakumpasia
Piga makasia wewe
Piga makasia hakuna mtu wakumpasia
Piga makasia
Piga makasia wewe
Piga makasia yoo