Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2022

Lyrics

Tulianza na shujaa tukiongelea lupus/

Tukawafunza kwa kina tukawapea full track/

Ikafuata watoto na michezo/

I hope wenye watoto walifuata maelekezo/

Na asili halisi ilihusu tiba mbadala/

Uzima nje ya hospitali bila mlima wa dawa/

kisha zoeza matizi one two/

Tukawaamsha kupasha kuwa fiti huwa ni cool/

Ndipo tukaenda kwenye elimu siha/

Swala la pedi kwa moja nyingi tukagusia/

Na kwenye unao tuliungumzia muda/

Kwa mifano kibao kuuangalia kwa ukubwa/

Ile siku nzima anayopewa mwenye pumzi/

Utachagua ku use it au ku make excuses/

Sio poa!!!! Nikazama kwenye sanaa/

Tukajua isingekuwepo duniani ingekuwa balaa/

Ikaja baraka iliwagusa wengi/

Maana ulimwengu wa vitu umepofusha wengi/

Ndio maana tunapaswa kujifunza iqra/

Soma, learn, jua elimika/

Niliandika na barua kwa mzazi au mlezi/

Kumkumbusha nafasi yake kwa ukuaji na malezi/

Kwa ujumbe, shule na shule ni funga kazi/

Rapper gani angeongelea umuhimu wa kunywa maji/


Sema shule na shule, Micshariki/

Shule na shule, Micshariki/

Shule na shule, Micshariki/

Shule na shule, Micshariki/


Picha kibao watu wanamtumia adamu/

Wanaposema naenda kuchangia damu/

Mada kubwa iliyokuja ikaja shusha mkono/

Kukemea unyanyasaji wa wanawake kila kona/

Vijana wadogo tuliwafunza kujiamini/

Kukuza vipaji na ujuzi ili kuja kujiajiri/

Na kwenye mistari ya humu/

Ulioongelewa sana ni ule wa sukari ya zuchu/

Wa siku ile kwenye kikao cha night/

Tulipowekana sawa sisi kama wapangaji/

Baada ya hapo ilifuata pumzika/

Nikijiita dr kongwe hampaswi kuuliza/

Msidanganywe na mitandao/

Itumieni kuwa chanya mkikwama tutawasahau/

Mi sikuupuza kuhusu afya akili/

Kipindi cha funguka hakikuacha hili/

Usalama na afya kazini/

Nilivaa vifaa kinga nikamwaga madini/

Kwenye zam kwa zam nako sikukaa pembeni/

Na wastaarabu wenzangu wasioharibu foleni/

Huku nikisanua wengi kuhusu mikopo/

Niliowasaidia nipeni ruzuku kidogo/

Kwenye maisha ulinzi lazima/

Ndo maana nikashusha stanza za umuhimu wa bima/

Tukamaliza na michango kuchangisha kistaarab/

Na leo tunafunga Its A wRap/


Sema shule na shule, Micshariki/

Shule na shule, Micshariki/

Shule na shule, Micshariki/

Shule na shule, Micshariki/


Shukran kwa wote mliofanikisha/

Mlionipa mada nyie pia mlitisha/

Kwa msaada wa mtandao na kuwasumbua ninyi/

Mmemjenga shule yao anko amejua vingi/

Nimekuwa busy nakesha nikichora/

Asante micshariki na kefa mkombola/

Asante punisher, fighter na rama/

Miracle,, unknown na y wa kahama/

Waunda macover lazma nipawaishe/

Walianza watu makini akafuata nikvision/

Ma visitor wa site na youtube channel/

Viewers zaidi ya buku tano/

Huh! Wasikilizaji na walengwa/

Naamini kila mstari utawajenga/

Shule na shule toka mwanzo bila doubt/

Na leo tunafunga its a wrap/

More Lyrics from Micshariki Africa Songs

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status