Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2022

Lyrics

Hebu fikiri kuhusu afya ya mwili/

Na pili, fikiri kuhusu afya ya akili/

Fikiri, huna ugonjwa huna hata dalili/

Kamili, yani uko fiti kwenye moja na mbili/

Kisha fikiri kinyume, yani turn table/

Una ugonjwa unaumwa yani you not stable/

Hata kama hujalazwa, hujatundikiwa dripu/

Lakini hauko sawa unasumbuliwa na vitu/

Au fikiri kuhusu amani uliyonayo/

Umetulia umeshiba huna njaa hupigi miayo/

Kisha waza vita.. Na migorogoro/

Hadi kulala unashindwa hulitamani godoro/

Na vurugu nyingine tu ama usumbufu/

Hata bila mabomu na kushikiana mitutu/

Fikiri kuhusu uhai na pumzi unayovuta/

Kisha wazia ku die huna pumzi umekufa/


Acha kudhania baraka ni pesa na mali tu/

Usidhani baraka ni pesa na mali tu/

Acha kudhania baraka ni pesa na mali tu/

Usidhani baraka ni pesa na mali tu/

Acha kudhania baraka ni pesa na mali tu/

Usidhani baraka ni pesa na mali tu/

Acha kudhania baraka ni pesa na mali tu/

Usidhani baraka ni pesa na mali tu/


Waza kuamka salama na kufanya mambo yako/

Hakuna kukwaruzana kupigana na watu wako/

Waza mapungufu yako ambayo bado sio kikwazo/

Cha kuziba njia zako unazopita toka mwanzo/

Iwazie roho yako, kauli na matendo/

Afu waza unavyopata kwa hiyo hali na mwenendo/

Fikiri kwa utulivu kidogo/

Acha vikubwa fikiri kuhusu vitu vidogo/

Vitu kama heshima ama kuaminika/

Au kupewa nafasi ama kutambulika/

...kuwa na bega la kuegemea/

Au sikio ambalo unaweza kulielezea/

Chochote.. Kile ambacho kinakusibu/

Kuwa na ndugu wawe wa mbali au karibu/

Fikiri na vingine ambavyo sijasema hapa/

Useme why unafikiri kwamba pesa ndio baraka/


Acha kudhania baraka ni pesa na mali tu/

Usidhani baraka ni pesa na mali tu/

Acha kudhania baraka ni pesa na mali tu/

Usidhani baraka ni pesa na mali tu/

Acha kudhania baraka ni pesa na mali tu/

Usidhani baraka ni pesa na mali tu/

Acha kudhania baraka ni pesa na mali tu/

Usidhani baraka ni pesa na mali tu/


Kwa kuwa hii story imenileta kwako leo/

Kuna usemi usemao pesa ni matokeo/

Tunaujua wote wewe na mimi/

Ushajiulizaaa pesa ni matokeo ya nini/?

Yani umefanyaje mpaka ukashika pesa/

Umeona? Baraka ni deeper kuliko fedha/

Haihitaji hata kuzama kwenye books/

Yeah, rudi nyuma kwenye roots/

Kisha acha kusema hujabarikiwa/

Yule kabarikiwa, na we umebarikiwa/

Umebarikiwa sana we fikiri yourself/

Usipime kwa noti au material wealth/

Tena kuwa msaada bariki na wengine/

Baraka zako zitazidi mara mbili/

Na hichi ndicho mi nilichobarikiwa/

Pokea baraka hii aminia....

Baraka tele...

More Lyrics from Micshariki Africa Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status