X - Wife
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2021
Lyrics
X - Wife - Lecha Boy
...
Yeah!
kila mwanadamu ameumizwa na mapenzi
So..
Ukigundua mwenzio anakupenda, basi usimtende..
[ khuukhuukhu ]
"Lecha Boy"
Gia! backing day hukuwa Kama ulivyokuwa Sasa ulikuwa binti mpole usiyependa Hata anasa Hata wakati nakupata ulikuwa hujatakata ulikuwa uko simple nikahisi nimepata, kiukweli ulikuwa mkali nikakwambia kila sababu na pia hukujali ukacheat bila sababu siwezi kukudanganya nishaenda mpaka kwa Babu,
Ulinichanganya kwa stress na ghadhabu najua unalingia uzuri.. uzuri bila akili unaumiza sehem za Siri Nikikufikiri naweka wazi nakiri na hii ndio simu ya mwisho hakuna hakimu wala wakili,
Yeah!
Umevaa ngozi ya kondoo kumbe ndani ni chui, umeng'atwa napuliza kumbe panya mi sijui, Unaigiza unanipenda mi Sterling we adui..mi sijui kumbe mapenzi movie ya kibedui, nakumbuka Bi mkubwaa..
see lyrics >>Similar Songs
More from Lecha Boy
Listen to Lecha Boy X - Wife MP3 song. X - Wife song from album X- Wife is released in 2021. The duration of song is 00:01:50. The song is sung by Lecha Boy.
Related Tags: X - Wife, X - Wife song, X - Wife MP3 song, X - Wife MP3, download X - Wife song, X - Wife song, X- Wife X - Wife song, X - Wife song by Lecha Boy, X - Wife song download, download X - Wife MP3 song
Comments (1)
New Comments(1)
yoxy
good song for the day one keep it up ase, later on