Chacun pour soi ft. Diamond Platnumz Lyrics
- Genre:World Music/Folklore
- Year of Release:2016
This song is not currently available in your region.
Lyrics
Chacun pour soi ft. Diamond Platnumz - Papa Wemba
...
Motema ezo lela est ce que ozo yoka nga
Mawa na nga pe pinzoli eh
Mboka nini na kende epayi ya nga, Nakeyi Dar-Es-Salaam
Kolela na nga eleki ya moto mohumbu oya azangaki liberté
Kuna kuna na Zanzibar
DIAMOND (PRE-CHORUS)
Alfajiri huwa ni kitendawili wa
daaah Nafikiri pindi tukiwa wawili
Tena nakiri inanitesa mwili
Bora tu niache
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
Chacun chez soi eh
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
Chacun pour soi eh
Ukweli roho inanisonona
Tena moto hadi sijapona
Ila naamini Mola ataniona
Nitakuja pata wakuniponya
Ila tu chonde ma nikuombe
Usiniseme vibaya
Tena nakuombea kuongezewa
Kwa Mola mwaya aaah
Alfajiri huwa ni kitendawili
Nafikiri pindi tukiwa wawili
Tena nakiri inanitesa mwili
Bora tu niache
Nibaki mwenyewee
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
(Kila mtu kivyake, melody yangu)
Chacun chez soi eh
(Kila mtu kwake)
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
(Kila mtu kivyake, melody yangu)
Chacun pour soi eh
(Kila mtu kivyake)
Aah chacun soi eh
(Kila mtu kivyake)
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
Tucheze rumba
Tena taratibu na mtumba
Twapenda rumba
Wote na marafiki wa kunyumba
Cheza rumba
KINSHASA
Tobina rumba
NAIROBI
Cheza rumba
BRAZZAVILLE
Tobina rumba
Cheza rumba
ABIDJAN NA YAOUNDE
Tobina rumba
NA COTONOU LOME
Mambi na mwana Africa
Rumba ya bana mboka
(Rumba ya wananchi