Geti Kali ft. Jua Kali Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2013
Lyrics
Geti Kali ft. Jua Kali - Sanaipei
...
Mtoto Wa Geti Kali Mimi huwezi kunifaidi baby
ikiwa wani mind kweli basi uhakikishe una Mali
Eti wataka nikufuate wapi
Eti tuende huko nyuma ya Calif yaonekana hatuelewani mpaka uhakikishe una Mali
Wasema wanipenda na unataka tuwe sote siku zote za calendar lakini tutateta
Maanake pahali Niko Mimi sidhani utaweza
Nimezoea kupewa chochote ntakacho
Wakati ninaposema usihisi pressure
Lakini ni afadhali nikuambie na mapema
Ilikuwa siwezi kuomba
Nakuwa sipendi kukopa
Na sito jiseti kusota
Usiseme Mimi sikukuonya
Ya kwamba
Mtoto Wa Geti Kali Mimi huwezi kunifaidi baby
ikiwa wani mindi kweli mpaka uhakikishe una Mali
Eti wataka nikufuate wapi
Eti tuende huko nyuma ya Calif yaonekana
hatuelewani mpaka uhakikishe una Mali
Wewe waona na jijenga hadi watu wanasema cheki dem amejibeba so nikipi kipya ambacho utanipa na mimi na siwezi jipa
Si ati nakutesa No nihali ya maisha So ndugu yangu makinika
Naona afadhali nikuambie na mapema
Ilikuwa siwezi kuomba
Nakuwa sipendi kukopa
Na sito jiseti kusota
Usiseme Mimi sikukuonya
Ya kwamba
Mtoto Wa Geti Kali Mimi huwezi kunifaidi baby ikiwa wani mind kweli basi uhakikishe una Mali
Eti wataka nikufuate wapi
Eti tuende huko nyuma ya Calif yaonekana hatuelewani mpaka uhakikishe una Mali
Mtoto mrembo Mtoto Wa Geti kali toka huko juu kuja utulie na Jua Kali
Najua kwenu mko sawa mko na Mali
Lakini nikuonyeshe yangu yangu ya mtaani
Wacha gari Leo panda matatu jua imewaka nitakuchulia barafu ya ukwaju
Lunch ya nguvu bakuli ya supu dessate ya Leo ni
mahindi na njungu sose ya nguvu Jo moja wazimu bado utamaliza na uji ya ndimu
Hakuna kebab hapa piga dondo hakuna pizza hapa piga muhogo
Usione ya kutoka hapa ni kawaida wacha tutie
raudi mtaa tukishikisha
Hii ndio base si hutulia pale ndio grao si hugusia
Majioni pale movie ni mbao lazima tutoke na juu tukitokewa na karau
Mtoto Wa Geti Kali Mimi sikutishi hivi ndivyo mtaani si huishi
Mtoto Wa Geti Kali Mimi huwezi kunifaidi baby ikiwa wani mind kweli basi uhakikishe una Mali
Eti wataka nikufuate wapi
Eti tuende huko nyuma ya Calif yaonekana hatuelewani mpaka uhakikishe una Mali