Namtaka Yesu Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2009
Lyrics
Namtaka Yesu - Rose Muhando
...
Yahweh......,nainua macho nitazame pande zote, nione kama yupo wa kumweleza shida zangu,naona hakuna wote wamepungukiwa,hawana furaha,hawana matumaini,nakumbuka habari za yule mwanamke,aliyetokwa damu miaka kumi na miwili,aliposikia kwamba yesu anapita,aliazimia akasema moyoni mwake,nitajisongeza,mpaka nifike kwa yesu, nitajisongeza mbele ya umati wa watu,nitajipenyeza mpaka nifike kwa yesu,niguse pindo lake,ili nipate uzimaakajisongeza mpaka akafika kwa yesu,,akagusa pindo lake mara akawa mzima, ponaa....,
NAMI mwana ni sawa na yule mwanamke,aliyetokwa damu miaka kumi na miwili,nimeshasikia habari za matendo yako,nimeazimia