Nabii Isaya Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2010
Lyrics
Nabii Isaya - Angela Chibalonza
...
Nabii Isaya alinena kwa watu wote(2)
(Mkono wa Bwana si mfupi kwa kutubariki
Lakini dhambi zetu ndizo zinatutenga naye)*2
(Unapotembea aah jiulize ndugu)*2
Maana yote ufanyayo ooh Bwana anakuona*2
(Anajua mwenendo wako na kukuchunguza vyema)*2
(Maana sisi sote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wake Mungu)*2
(Maana maombi ya mwenye dhambi ni kelele mbele za Mungu)*2
(lakini maombi ya mwenye haki ni kama manukato)*2
(Unapotembea aah jiulize ndugu)*2
(Maana yote ufanyayo ooh Bwana anakuona)*2
(Anajua mwenendo wako na kukuchunguza vyema)*2
Mungu anatafuta mtu atakayesimama ili amtume kuokoa taifa lake
Bwana anatafuta mtu atakayesimama ili amtume kuokoa taifa lake
(Jamani wapendwa tusimame tumfuate Bwana Yesu)*2
(Na sisi sote tutashinda tutaokolewa)*2
(Unapotembea aah jiulize ndugu)*2
(Maana yote ufanyayo ooh Bwana anakuona)*2
(Anajua mwenendo wako na kukuchunguza vyema)*2
( Unapotembea aah jiulize ndugu)*2
(Maana yote ufanyayo ooh Bwana anakuona)*2
(Anajua mwenendo wako na kukuchunguza vyema)*2