Star Remix ft. Rayvanny Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2022
Lyrics
Star Remix ft. Rayvanny - Mabantu
...
star,star..(chuiii)
star star (chibii) star star,star
vanny boy
unaniletea star
kwanza nakushangaaa
eti mimi maarufu Dar
hujulikani ata kbaa
kwanza nyota imefubaa
cha pili una njaa
main star marabilioni
ukiniona unaduwaa
kwamza nakuzidi cash
na nanukia marash
kwahio ukijivimbisha
bwamdogo nakuona trash
ngoma zangu ziko kwa flash
USA lobombash
wewe unanichukia
dem yako ananiita crush
star una majina mengi,mikononi tatoo
unajifanya unatrend,viwazi feki tuu
mabodigadi una wengi,hututishi mbwembwe tu
ukiwacha kenya na uganda wanakujuwa bongo tu
we ni star ukiwa kwenu
ila shabiki ukija kwetu
michuga silali njaa
wote wanangu yechu yechu
popote ukitimba star
chui mtoto wa yesu yesu
unajifanya star
humzidi ata manunu wa wema sepetu
naona haufanyi mziki,bila kiki ptuuu!
eti umerudia matapishi ptuuuu!
ngombe hazeeki maini
sina ubishi true
niko dubai nakula zangu
mtoto mbichi aaahh!
so usituletee ustar
hatushobokei ustar
mwanangu mastar
mpaka snitch wangu star
wewe unanoletea ustar
jirani yangu star
mwenye nyumba wangu star
mpaka bodaboda star
kumaanisha nini
STAR
(hainaga shobo mwanangu)