Sitanyamaza Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2017
Lyrics
Sitanyamaza - Rose Muhando
...
Eeeeeh, Mimi mungu Kwa tiro nitalia Kwa zioni nitaomboleza sodoma nitanung'unika mipakani nitashambulia mijini wameniacha hilo bwana nitashambulia maisha ya wanadamu yamenichoshaaa,
hoooh! hoooh! Mimiiiii, sitanyamazaa wala sitanyamaza lakini nitalipa ujira wa vifuani mwao, maovu yenu nyinyi pamoja na Baba zenu, iyoo leleeh, na sasa nitalipa chuki ???? ni mengi bwana,nimekukiza uvumba na kunitukanaaa, Kwa ajili ya hayo mtajutia Kwa kizazi chenu, sitanyamazaa wala sitanyamazaa, lakini nitalipa ujira wa vifuani mwao, mwao maovu yenu ninyi pamoja na Baba zenu, na sasa nitalipa chuki ?? ni mengi bwana, mmechukiza uvumba na kunitukanaaa, Kwa ajili ya hayo mtajutia Kwa kizazi chenu.
mmmefaanya uzinzi katikati ya milima,usikuuuu wa manane mmefanya ukahaba,kwenye njia kuu na vichochoro mmefanya mapatano, kwenye njiani na mipera mmefanya machukizoooo,
(ulitumaini uzuri wako, ukafanya ukahaba,kila kijana aliye pita ulimwona anafaa, awe mzuri na Sura mbaya ulifunua marinda ×2) , (wako wapiii wapenzi wako onasasa unakondaa ×4).
(miji mizuri imekua ukiwa, majumba mazuri yamefungwa kabisaaa, wana wa wana wamebaki yatima,kiburi chako ??? kabisaa ×2)
(Hebu sasa piga kelele ulie kahabaa, shika kinumbi piga kelele omboleza upate kukumbukaaa ×2)
(Nirudieni Mimi, yelelee, niwasamehee, nasema Leo ombeni saasa ni waponyeee ×5)
(Lakini bwana asema hiviiiiii,,,, nitawaponyaaa, ( yeye mwenyewe ameahidi),, nitawabarikiiii,,, ( Mimi ni Alfa ma Omega) mwanzo na mwishooo, ( kwani Mimi ni munguuu) mwingine hapanaaa ×2)
heheeeee,,,,,, (nirudieni Mimi niwasamehee nasema,, Leo ombeni sasaa ni niwaponyeee×6)