Do do do ft. Kidum Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2022
Lyrics
Do do do ft. Kidum - Vivian (KE)
...
Niliposema yes I do (do do), I meanti yes I do
Na uliposema yes you do, I thought you meanti yes you do.
Karibu nyumbani , karibu kiti, mpenzi wangu tulia
nimekua nikikusubiri nina jambo la kukwambia
tumeishi miaka mingi, tumepatana na mengi
tulipopata maadui tuliwashinda pamoja
lakini jambo moja linanikera bebi (aaah)
Nimekua nikikuona na kasichana fulani (aaah)
I know how you met and where you meet, it's funny how you think I don't know
Najua anakoishi,
mabeshte wake,
it's funny how you think I don't know.
Niliposema yes I do(do do),
I meant it yes I do
Na uliposema yes you do,
I thought you meant yes you do.
Sasa cheki unavyo do do do do do
hizo ni gani una do do do do do
mi sipendi unavyo do do do do do
hizo ni gani una do do do do do.
Sasa cheki unavyo do do do do do
hizo ni gani una do do do do do
mi sipendi unavyo do do do do do
hizo ni gani una do do do do do.
Mimi sijui niseme nini kwa hizi shutuma,
kusalimiwa tu na kina dada ni jambo la kawaida,
ni mwanadada yupi anayefanya bebi wangu kunishuku hivi,
nani uyo tena anajaribu kutuletea ugomvi,
wachana na izi kesi,
mapenzi yetu si mambo fakey
mimi hujaribu sana kuwa mkweli na muwazi kwako
mambo yote watu wanasema kunihusu ni uvumbi na uchochezi
hawajui tulitoka mbali mimi na wewe
wachaga kulia,
wala kusononeka
wale siwatazami,
natazama tu wewe bebi.
Niliposema yes I do (do do) ,
I meant it yes I do
Na uliposema yes you do, (bado msimamo wangu ni huo)
I thought you menti yes you do.
Sasa cheki unavyo do do do do do
hizo ni gani una do do do do do
mi sipendi unavyo do do do do do
hizo ni gani una do do do do do.
Is it me or is it her,
sema ni nani unataka
is it me or is it her,
sema ni nani unataka.
Kama ni lazima akue, (hayuko)
ni lazima ajue(hakuna mtu )
kama ni lazima akue, (hayuko)
ni lazima ajue.(hakuna mtu )
Tuko na watoto nawe (nawe)
pia mali tumepata nawe(nawe)
asinikosanishe nawe(nawe)
ju mi siachani nawe.(labda umeota)
Ju kama mke wako nadeserve some respect and attention(hakuna mtu)
kama mke wako nadeserve some respect and affection.
Niliposema yes I do (do do),
I meant it yes I do
Na uliposema yes you do,
I thought you meant you do.(bado niko kwa msimamo huo)
Niliposema yes I do, I meant it yes I do
Na uliposema yes you do,
I thought you meant you do.(bado niko kwa msimamo huo)