Fala Mimi Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2022
Lyrics
Fala Mimi - Frida Amani
...
Skuwai kujua kama ni game so I didn’t play
I was in love and I was there to stay
Kumbe aliniona chuzi nkipiga alikua busy
?
Fala mimi
Wana waliposema nliona wananionea wivu
Nkaanza jitenga nkapunguza ukaribu marafiki skutaka tena
NKamfanya kila kitu
Nkampa moyo nafsi adi maini ila kwake skua kitu fala mimi
Akiwa nyumbani alipretend anawivu
Vitu vidogo Vilikua big issue fighting kila term ila nkakaa tu
Skuwai kuhisi ananitia aibu kwa watu
Fala mimi
Nliingia kichwa kichwa kwenye mapenzi
Yani deeply kishenzi kumbe mwanangu anapretend fala mimi na ugengster wote nlitubu nkakaa chini akanichanganya akili nkadata mm atanlipotaka vuta kunywa havikuingia mwilini haikuniingia akilini kwamba huyu naempenda ndo ananiumiza hivi
Fala mimi
Wanasema ukipenda umependa na uwezi panga utaempenda so ukipenda u in danger believe that I felt in my heart fala mimi chakushangaza yote unayojua akipiga tu napokea akinita natokea nampenda na ananionea na msamaha naomba ata akinikosea sio fair
Fala mimi ananitia stress tu I don’t know what to do