Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2022

Lyrics

X Bosses ft. Scar Mkadinali & Mic 1 Eazy - Wakadinali

...

My X bosses siku hizi wana-call my phone

Siku hizi unaringa sana

My X bosses siku hizi wana-call my phone

Siku hizi unaringa sana

Nakumbuka nikiwa baze time flani

Zilikuwanga siku za maajabu

Nakumbuka nikiwa jaba time flani

Zilikuwanga siku za maajabu

Mama Uhuru sisi ni mahuru na anajua

Hizo game mbaya na tunazijua

Mbunge wa Mhaya ananijua

Sisi huendea stock kukuwe mvua au jua

Pullup kwenye upblocks, boyz ndani ya .44s

Chunga usindunge kwenye portal

Munga unakuja na ma-glock jo

Odi wa Murang’a alikushow

Niko na craving ya kagoks jo

Arif alikatazangwa na mokoro

Kutembea na mimi is a no-no

Nili-receive transaction

Ka kitu kadogo US toka kwa morio

Arif ananidrip magoro, ati Dosh kula hiyo tommorrow

Akili silly siko greasy looking kinda busy

Hii ni hiliki hii ni pilipili hailiki

My X bosses siku hizi wana-call my phone

Siku hizi unaringa sana

My X bosses siku hizi wana-call my phone

Siku hizi unaringa sana

Nakumbuka nikiwa baze time flani

Zilikuwanga siku za maajabu

Nakumbuka nikiwa jaba time flani

Zilikuwanga siku za maajabu

Okay real recognize real

Tukipatana huwanga feeling kinda big deal

Mambo grand kazi kama kawa tena big lit

Iller than most wasee wajawaitisha sick leave

Nikisambaza una-soak, nikicheki time nishaku 3 nil

Na ka ni approach we tu kam ka unafeel free

Shika maganji tushike madem au tununue mali

Kuishi na regrets kumbuka the days utalilia nani

Now catch me in the Benz

Unadhani ni keroma sikunywi Lejo

Nataka kupiga simu shika phone sikosi kredo

Unasema nimechange ati "Mic Eazy uko na mapetho"

Coz I be my own boss, nikikumbuka kuishi vi-ghetto

Kumbuka nikiwa alone nikiandika

Hizi flows tutapachika hizi shows tutachachisha

Hey everybody getting down in the party

Mambo Grand Wakadinali, Mic 1 got to look

My X bosses siku hizi wana-call my phone

Siku hizi unaringa sana

My X bosses siku hizi wana-call my phone

Siku hizi unaringa sana

Nakumbuka nikiwa baze time flani

Zilikuwanga siku za maajabu

Nakumbuka nikiwa jaba time flani

Zilikuwanga siku za maajabu

Ey siko Nai niko Odhumo

Uh ju ladha huku ilirumo

Bado bado Rong Rende pale Umo

Natoanga usoo nikichomanga Mugumo

Sina was mi sipangii masiku

Msupa ame-catch ju silambagi hiyo kitu

Iwe jua ama mvua sina issue

Wananijua mi nikiwa mabangi ni ma big tune

We si bro we ni nephew

Na kama huamini hii rende ni rong nigga F.U

Nakumbuka X bosses wakinitolea stress yote

Mi na hustle excess na si-take losses

Unapigwa ‘Shhh’ bare hapa hatu-take nonsense

Ushai bambwa na wife anaexpect mtoke?

Bro alimadwa na matha alikuwa anamexpect shoke

My X bosses siku hizi wana-call my phone

Siku hizi unaringa sana

My X bosses siku hizi wana-call my phone

Siku hizi unaringa sana


Nakumbuka nikiwa baze time flani

Zilikuwanga siku za maajabu

Nakumbuka!

More Lyrics from Wakadinali Songs

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status