Love Song Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2021
This song is not currently available in your region.
Try the alternative versions below.
Alternative versions:
Lyrics
Love Song - Quick Rocka
...
ua napenda rangi yako hiyo unavyo waka waka mwendo wako uo unavyo nata nata figure hiyo hiliyo nifanye nidate na wewe .....
napenda macho yako hayo unapo niangalia upishi wako mamy unapo nipikia
fundi kitandani me ndo nadata na wewe ....
chorus;
nakupendaaaa..
sioni neno lenye uzito kukuambia zaidi ya nakupendaaaaa....
we ndo mwazo na mwisho wa mapenzi yangu yote nakupendaaa..
siwezi kukuacha nishakula kiapo kwamba nakupendaaa baby,
ooh mamaaa....
.........
napia napenda tabia yako,
tabasamu lako, nikikutazama sipepesi macho, nimebarikiwa kuwa na uwepo wako ndo maana, ndomana napenda kukutazama, maji marefu nimezama, kukuruku ndo basi tena, vyuma vimeumana, mapenzi nimatamu kuliko fanta naejoy ndo manaaa.
chorus;
nakupenda
sioni neno lenye uzito kukuambia zaidi ya nakupenda
we ndo mwazo na mwisho wa mapenzi yangu yote nakupenda
siwezi kukuacha nishakula kiapo kwamba nakupenda baby,
ooh mamaaa......
switcher baba.
by FINEBOY_93