Bei Imepanda ft. Ssaru Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2022
This song is not currently available in your region.
Try the alternative versions below.
Alternative versions:
Lyrics
Bei Imepanda ft. Ssaru - Breeder LW
...
Wakisema unajifanya si kwa ubaya
Bei imepanda, bei imepanda
Bei imepanda si kwa ubaya
Bei imepanda
Wakisema unajifanya si kwa ubaya
Bei imepanda, bei imepanda
Bei imepanda si kwa ubaya, bei imepanda
Baada ya janta lata mabramba
Si kwa ubaya bei imepanda
Bei imepanda design ya irori
Uswahilini husema bei ni ghali
Staki hio mchezo ya ndae ni ndae
Bei imepanda na pre Ferrari
Ka ni kurau ni very early
Kuzikusanya ni daily habit
Van Persie bei ilipanda akatoka Arsenali
Bei imepanda lakini ya PS5 tunangoja ishule
Denri nichi hazilali kwa kamba ama utazikosa shoke
Bei imepanda najifanya bubu ka stori hubongi ya pake
Bei ilipanda nikatoka msupa nikaanza kusuka mathake
Campo arif second year alisare
(Na ni kwa nini?) Fee lipanda
Kukinyesha we chorea manganya
(Na ni kwa nini?) Fare hupanda
Bei imepanda nadai Tanasha
(Na ni kwa nini?) Ndo nikuwe step father
Niko na kwetu mi nicha usonga
Nikiukata siwezi zikwa Lang’ata
Nasipigi lap ka si ganji imenitoa hapa
Panda bei mpaka hater aseme unafanya kazi poa
Ka ulipata Ronoh uliza nani alikohoa
We ni fake ondoa naona hujatoboa
Ngoma ka imeshika unakatika sure
Drip ikikubali we mwagika lowa
Ukipata ayela na amejipa oa
Na ni smooth amenyoa basil atabomoa
Statue mi nataka isundwe hapo kando ya bweha
Man a heavy weight mi ni black bela hoya
Hapa kila kesi tunasolve bila lawyer
Chai si ya Edgar chai ni ya soya