Moto Chini Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2004
Lyrics
Moto Chini - Sugu (TZ)
...
yeeah
he is back
ah nobody is back
I have been here I have been around
been around the world
dar es salaam ,Nairobi , Mombasa, Bujumbura Kigali kishansa
dalala Kwa matatu keep it hit
verse 1****
Toka bongo mpaka UK na Kisha narudi Tena,
Nairobi na Kampala nawakilisha ile Kwa sana ,
maneno bado ni yes naona kama hakuna no,
Sasa match ni international sugu ni chama kubwa kama arsenal,
Bado Niko dimbani na mic Iko mkononi,
labda uku nilipo nifateni ,
mana naona inaonekana ntachelewa kushuka chini,
aah inashangaza kuona muda unavyokwenda,
na kucheza mchezo wa hip hop ndo kitu nachokipenda,
cheki maplayer haters navyowapiga denda,
ooh ooh ni VIP Kila kiwanja ninachokwenda,
Kwan hatari kitu gani,
Toka wakati Niko hewani BBC extra 1,
na machizi wangu wote Sasa zidisheni hasira,
ni wakati wa kumaliza ule utumwa wa kibiashara,
Sasa ni muda mrefu wanatufanya mafara,
tunaingiza mabilioni wanaonga mademu Vitara,
hamuwezi kunitisha katika kuthibitisha
nawawasha na
tafadhali sahauni kuhusu sugu,
mna Bado atazidi tu kuleta mavurugu,
mziki mpaka makamo kama mzee mzima ngurumo,
na kunyonga Mimi simo,
labda ganja zamani kidogo nilikuwemo,
na ndo mana mpaka Leo Bado inanipa misimamo
aaah moto chini
*****chorus****
aaaaaaaah
sugu moto chini ( eeeeeeh)
sugu moto chini (aaaah)
sugu moto chini ( aaah aah aaah aaaaah)
sugu moto chini ( eeeeeeh)
sugu moto chini (aaaah)
sugu moto chini ( aaah aah aaah aaaaah)
sugu moto chini ( eeeeeeh)
sugu moto chini (aaaah)
sugu moto chini ( aaah aah aaah aaaaah)
sugu moto chini ( eeeeeeh)
sugu moto chini (aaaah)
sugu moto chini ( aaah aah aaah aaaaah)
aaah aaah aaah aaaaah aaah aaahaah aaah aaaah ni moto chini
aaah aah aaaah aaaah aah ahaaaaa
aaaah aaaah ni moto chini
verse 2 *****$
Niko fiti ile fiti,
na social Mimi street,
na Bado nawakilisha ni muziki na maisha,
sio rahisi kukatisha,
nafika mpaka Bamako sio tu st fransicko ,
huko kote nafika katika kusaka mshiko,
na mapromoter Koko kokote kule mliko,
sugu Sasa anamiliki bunduki,
sitaki Tena amani palipo na deal feki,
milango mliyofunga Sasa yote inafunguka,
na wakati nyie mnanuna ona Mimi Bado nacheka,
laki Moja na nusu kitu gani,
kwanza Mimi nakosa Nini,
kwani hata nisiporap deal zangu ni milioni
moja mbili tatu nne mpaka tano,
kama hupigi nyimbo zangu redioni hamna maneno,
Mi nilianza kurap kabla ya fm
wakati jabir wa kati ni mkurugenz kwenye am,
na watu walinifahamu
na wengine wakasema sugu anaponda mademu,
Bado narekebisha na maisha Bado matamu,
na mama Bado anapata mahitaji yote muhimu,
sio p na ni majina mpaka buti,
cheki ambayo Niko fit na nnavyocheza na beat ,
kwanza kule na huku nawapa dole la kati,
ni nani ( sugu) ,
na nani (wewe tu)
***chorus***
aaaaaaaah
sugu moto chini ( eeeeeeh)
sugu moto chini (aaaah)
sugu moto chini ( aaah aah aaah aaaaah)
sugu moto chini ( eeeeeeh)
sugu moto chini (aaaah)
sugu moto chini ( aaah aah aaah aaaaah)
sugu moto chini ( eeeeeeh)
sugu moto chini (aaaah)
sugu moto chini ( aaah aah aaah aaaaah)
sugu moto chini ( eeeeeeh)
sugu moto chini (aaaah)
sugu moto chini ( aaah aah aaah aaaaah)
aaah aaah aaah aaaaah aaah aaahaah aaah aaaah ni moto chini
aaah aah aaaah aaaah aah ahaaaaa
aaaah aaaah ni moto chini
aaaaaaaah
sugu moto chini ( eeeeeeh)
sugu moto chini (aaaah)
sugu moto chini ( aaah aah aaah aaaaah)
sugu moto chini ( eeeeeeh)
sugu moto chini (aaaah)
sugu moto chini ( aaah aah aaah aaaaah)
sugu moto chini ( eeeeeeh)
sugu moto chini (aaaah)
sugu moto chini ( aaah aah aaah aaaaah)
sugu moto chini ( eeeeeeh)
sugu moto chini (aaaah)
sugu moto chini ( aaah aah aaah aaaaah)
aaah aaah aaah aaaaah aaah aaahaah aaah aaaah ni moto chini
aaah aah aaaah aaaah aah ahaaaaa
aaaah aaaah ni moto chini
lyrics by @dennyka1 ( insta)