Loading...

Download
  • Genre:Bongo Flava
  • Year of Release:2023

Lyrics

Niko bored club, non alcoholic


Nikila pombe kitu gani am just a Roman Catholic


Bar Tender please nipe tripple J' n' tonic then


Nikapate kitu ya cronic (yep)


Dark Master toa bonge la pipe


Ileee two in one bob marley style (yeah)


Mtu mzima nkawa high n' high


Namchimba mtoto mkali bila chembe ya nishai


Nikaanza kumpa flows ka maji ya mto Nile


Kila dini nnalotupa mtoto ana smile


Na kwenye floor ananyonga ata zaidi ya python


Jeans mlege flani unaweza kuiona thong


Nikachukua video kwa my camera phone


Huku nkiwish kama nae angeniweka kwa ringtone (yeah)


Tukaji-mix wote ma friends na wake friends


Tukiendelea enjoy pamoja kama all friends


Aaah aaaah aaaaahh


Mtoto flani design kama mbwiga utaogopa


She is so fine


Mrembo flani kanyooka


Ananipa vitamu tamu viuno flani logomba


She is so fine


Mrembo flanii kanyokaaa


Aaaaaaaah


Aaaaaaah


Aaaaaaaah


Aaaah


Hey girl what’s poppin


Am blessed to meet you


Would you mind if I sit beside you


Too hot and am temp to touch


Na ume-dress poa lets make a tost for that


If you dont mind tutaongea kitu


Sijali ka’ una-mood swing


I can vibe with you


Taacha girls wote dar ubaki na me tu


Nakumiminia love sina trust issues


Mosimosi tungi baada ya masaa mawili


Tamgea cotton bags bills talipia


Bombadia inataka kuingia


Na iko hot sa sijui ka’ utaishikia au utaachia


Leo i just wanna treat you right


Babe can I take you to my crib tonight


Straight to my bedroom ***


we get high


Then turn off the light babe


Aaah aaaah aaaaahh


Mtoto flani design kama mbwiga utaogopa


She is so fine


Mrembo flani kanyooka


Ananipa vitamu tamu viuno flani logomba


She is so fine


Mrembo flanii kanyooka


Aaaaaaaah


Aaaaaaah


Aaaaah



Aaaaah


Yoo!!


With these two arms ma


I can build your world


You know I’m rude boy


And you’re nasty girl


So lets just stick together like pair of shoes


And stay forever and ever like skin tattoo


Yeaaah


Blown eyes long hair


Pink lips hips styel


You look more than fine


Chill babe usitoke kwa line


I wanna teach you mathematice 69


Nadhani unanielewa mmmh


Kama mapenzi nayajua me mtu mzima boo


Cz I used to be in love like a time with two


But I’ve never seen chicks so hot like you


Ah ah ah uko juu mammy


I wish club ingekua church tungeoana usiku huu


Kwani


Ku-meet na wee leo hii naona bahati


Yani huwezi amini mamaa am so happy


Na ningefurahi zaidi ungekubari kua mom


Fine


Okay okay fine


Me na wewe milele tu-shine


Hey waiter please bring some bottle of wine


Hallaaaa!!!


Aaah aaaah aaaaahh


Mtoto flani design kama mbwiga utaogopa


She is so fine


Mrembo flani kanyooka


Ananipa vitamu tamu viuno flani logomba


She is so fine


Mrembo flanii kanyokaaa


Aaaaaaaah


Aaaaaaah


Aaaaah

More Lyrics from P-Funk Majani Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status