Fire My Head Lyrics
- Genre:Others
- Year of Release:2023
Lyrics
Kichwa kimejaa mapepe
But i know no one can do me fine
Ndo maana na vita paper
Nikikapata nichumbani (yani madaaah)
Kama akitaka shisha beer na mnywesha
Mipigo ya kibad one army
Kaki taka bed yes i do
Ndo kamaishia chumbani ( yeh yeyeyeh )
Kasije kakanichenga
Nawachawi washa niweka
Na mimi nisha kapenda
Let me fire my head up
Head up
Fire my head up
Head up
Fire my head up
Head up
Fire my head up
Cheki kanavyo angalia eh
Katoto eh kamoto
Kanavyo angalia eh
Katoto eh kamoto
Cheki kanavyo angalia eh eh
Katoto eh kamoto
Kanavyo angalia eh
Katoto eh kamoto
Yeh yeh
Atanifanya mpaka nipigane
Wakimtouch eh
Haki walahi nikimpata tupendane
Nasimuachi eh
Katoto kamechangamka changamka
Nikikaona moyo una dunda
Hasa kalivyo waka mi hennessy
Mbona geto kata timba yeh yeh yeh
Kasije kakanichenga
Nawachawi washa niweka
Na mimi nisha kapenda
Let me fire my head up
Head up
Fire my head up
Head up
Fire my head up
Head up
Fire my head up
Cheki kanavyo angalia eh
Katoto eh kamoto
Kanavyo angalia eh
Katoto eh kamoto
Cheki kanavyo angalia eh eh
Katoto eh kamoto
Kanavyo angalia eh
Katoto eh kamoto
Head up eh (fire my head up)
Head up eh
Head up eh
Fire my head up