Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2021

Lyrics

Straight to the point to tha

Straight to the point to the point no faking huh

Straight to the Okay no faking

Take it yeah look


Straight to the point to the point no faking

Never regret steps im taking

Utaniona chizi about risks im always taken

Break them rues some rules were meant for breaking

Yeah street life we born with it

Hatujui kuomba tukihitaji we go and get it

Hivyo ndivyo we learned ain't no kidding

Real cold hearted niggas with no feelings

Tunachoamini the main focus is to stay focus

Nishapuyanga kinoma nusu niwe fucking hopeless

Katikati ya jiji bila ya msaada

Grew up in this bitch without my father

Kwa mama ilikuwa shida so ikabidi tuu

Hata sеcondary sikufika mi nika quit school

Ndugu waliona tumesha fail

Baada ya mirathi hata sisi tukaona kweli

Yeah i was young wakihisi mi ni fool

Kwa kuwa nilikuwa mtoto pеke yangu wakadhani it was cool

Wajomba walieuka kuwa matapeli

Ili mambo yao yakae tuu kwenye rail

Listen Umri unakwenda nishakariri now

Still remeniscing on them days i was really down

Kitu kimoja sintosahau

I told my mama ipo siku tutasahau


Said that we never gonna make it

Only GOD knows how we made it

Wengine binadamu kama mimi

So I ain't gotta worry about shit


Said that we never gonna make it

Only GOD knows how we made it

Wengine binadamu kama mimi

Dont give a fuck if you talk shit about me


Bout me Bout me Bout me

I do this for my mama whatchu talking bout me

I dont even know how to rest round hii

Fuck you haters whatchu talking bout me


Look huh! Kitu Pekee unapaswa ukitambue

Maisha yalikuwa magumu nilitaka tujikwamue

Na hakuna maisha ya haraka lazima ukamue

Tofauti ya pale ulipo cha kwanza inabidi ukuwe

Huh! na ukuwaji nnaosema ni tofauti ya age

Ni zaidi ya kitabu with alotta pages

Kufika ni lazima upitie stages

Gotta let your vision be outragious

Inspiration is gettin hard to fake it

Concentration is never hard to break it

Kama ingekuwa ni uoga tungehisi tumesharogwa maana maisha tulioyaona is so hard to make it

Ilifikia wakati tukaona kama ni mzaha

Maisha yalichange ma' hakujua ingeweza happened like that

Alikosa usemi at the moment alikuwa ameduwaa

Shida nyingi nusu kukata tamaa we say Alhamdulillah

Tunashukuru mungu coz sasa imekuwa tofauti

Mwanzo yalikuwa machungu tulitamani hata umauti

Teana ile time tuliyotengwa na familia

Hakukuwa na mtu yoyote wa kutusaidia

Umri unakwenda nishakariri now

Still remeniscing on them days i was really down

Kitu kimoja sintosahau

Kipindi kile wale wote waliotudharau shit


Said that we never gonna make it

Only GOD knows how we made it

Wengine binadamu kama mimi

So I ain't gotta worry about shit


Said that we never gonna make it

Only GOD knows how we made it

Wengine binadamu kama mimi

Dont give a fuck if you talk shit about me


Bout me Bout me Bout me

I do this for my mama whatchu talking bout me

I dont even know how to rest round hii

Fuck you haters whatchu talking bout me

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status