Watoto Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2019
Lyrics
Waacheni watoto, wamfuwate Christo
Mana wa mfano wa watoto, wataurithi ufalme
Na kama tu watoto, tuwarithi wa Mungu
Warithi pamoja na Christo, turithi ufalme wake
E Mungu wetu, mi Mungu wa upendo na rehema
Huwajali na huwabariki
Waacheni, wamfuate pia na kumtumikia
Kisha sote, tushikamane
Kwa umoja, tufike mbinguni
Waleeni watoto, kwa njia ipasayo
Waweze kuishiki Kikristo, wauoneshe ukristo
Na kama waishivyo, kwa kumpendeza Mungu
Wataitwa wana wa Mungu, wataurithi ufalme
E Mungu wetu, mi Mungu wa upendo na rehema
Huwajali na huwabariki
Waacheni, wamfuate pia na kumtumikia
Kisha sote, tushikamane
Kwa umoja, tufike mbinguni
Imana yacu, n'imana y'urukundo n'ubu untu
Ibitaho ibahumugisha
Aa mubareke bayikurikire kandi bayikorere
Twese hamwe, dufatanye, mubumwe
Dushyike Mwijuru
Twese hamwe, dufatanye, mubumwe
Dushyike Mwijuru