Haleluya Nyakati Zote (Live) ft. Paul Clement Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2023
Lyrics
Haleluya Nyakati Zote ft. Paul Clement - Henrick Mruma
...
Kwenye shida
Kwenye raha
Kwenye shibe
Kwenye njaa
Nitaimba haleluya
Haleluya haleluya
Kwenye shida
Kwenye raha
Kwenye shibe
Na kwenye njaa
Nitaimba haleluya
Haleluya haleluya
Kwenye shida
Kwenye raha
Kwenye shibe
Kwenye njaa
Nitaimba haleluya
Haleluya haleluya
Kwenye shida
Kwenye raha
Kwenye shibe
Kwenye njaa
Nitaimba haleluya
Haleluya haleluya
Kwenye shida
Kwenye raha
Kwenye shibe
Kwenye njaa
Nitaimba haleluya
Haleluya haleluya
Sababu najua Yeye
Ni Mungu
Sitaacha kumsifu
Anasema tushukuru
Kwa kila jambo
Hata kwa yale ambayo
Yana kasoro
Anasema tumsifu
Kwa kila hali
Hata kwa wakati
Wakupita jangwani
Sasa nimetambua
Anachotaka Mungu
Anachotaka sisi
Tumsifu tu
Anasema tumtwike
Fadhaha zetu
Maana Yeye hushughulika
Na mambo yetu
Na sisi tunashughulikia
La kwake
Maana kwake ni moja
Kumsifu tu
Kwenye majira yote
Tutamsifu
Kwenye nyakati zote
Tutamsifu
Na kwenye hali zote
Tutamsifu
Na kwenye mambo yote
Tutamsifu
Haleluya haleluya
Ni wimbo wa majira yote
Haleluya haleluya
Ni wimbo wa majira yote
Haleluya haleluya
Ni wimbo wa majira yote
Haleluya haleluya ooh
Ni wimbo wa majira yote
Haleluya nyakati zote
Haleluya majira yote
Haleluya kwenye dhoruba
Haleluya kwenye utulivu
Nitaimba Haleluya
Haleluya haleluya
Haleluya nyakati zote
Haleluya majira yote
Haleluya kwenye dhoruba
Haleluya kwenye utulivu
Nitaimba Haleluya
Haleluya haleluya
Haleluya nyakati zote
Haleluya majira yote
Haleluya kwenye dhoruba
Haleluya kwenye utulivu
Nitaimba Haleluya
Haleluya haleluya
Haleluya nyakati zote
Haleluya majira yote
Haleluya kwenye dhoruba
Haleluya kwenye utulivu
Nitaimba Haleluya
Haleluya haleluya
Haleluya nyakati zote
Haleluya majira yote
Haleluya kwenye dhoruba
Haleluya kwenye utulivu
Nitaimba Haleluya
Haleluya haleluya
Haleluya haleluya
Haleluya haleluya