Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2014

Lyrics

Kama Zamani ft. Kilimanjaro Band , Mandojo & Domo Kaya - MwanaFA

...

Keeping the good music alive

Thats my job!

I like the way y'all lookin' tonight

Wow!

This is the.eer.kind of music you can twist up to

I mean like.er.to the left, to the right

Step it up, to the right, C'mon!

Left, right

Oh oh oh! natamani iwe,

Natamani iwe kama zamani (kama kama kama kama zamani)

Natamani iwe Eeh! (Lets Go!)

Oh oh oh! natamani iwe,

Natamani iwe kama zamani (kama kama kama kama zamani)

Natamani iwe Eeh!

(Feel me!)

Sikukukosea nilikukosea kuamua

Nkadhani umenikosea sana nkashindwa kuchagua

Machozi yangu na maumivu yana uhusiano unajua

Nawezafanya chochote rudi maa Mungu anajua

Bado sinywi pombe kama ulivyoniacha shuga

Huwa naswali ila sifungi mawazo yamenipa ulcers

Wananicheka ujinga 'coz nakuongelea wewe tu

Nikiongelea mapenzi mfano wangu wakwanza ni wewe boo

Kama ni ndoto naomba Mungu iishe mapema

Naona mateso ka' naibeba dunia nzima

Nashindwa kula nashindwa kulala mama

Kila kukicha naumia kama tuliachana jana

Ni jeuri tu zinaniumiza

Yasingefika huku kidume nisingeendekeza

Mara ngapi nilikosea mimi na ukanisamehe

Mara ngapi ungeweza kuliacha penzi lipotee

Hukuniacha ukaganda na mimi kama ulinizaa wewe

Nilishindwaje kusamehe wakati ulipokosea nawe!

Tungeachana usiku tukarudiana asubuhi

Jeuri tu zinaniongoza nashindwa hata kumsabahi

"Oh oh oh! natamani iwe,

Natamani iwe kama zamani (kama kama kama kama zamani)— MwanaFa

Oh oh oh! natamani iwe,

Natamani iwe kama zamani (kama kama kama kama zamani)

Natamani iwe Eeh! (Lets Go!)

Oh oh oh! natamani iwe,

Natamani iwe kama zamani (kama kama kama kama zamani)

Natamani iwe Eeh!

Siwaulizi shosti zako kama bado unanikumbuka

Siwezi majibu yao ya shombo yatanisuta na ntawachapa

Sijasahau walivyonibembeleza enzi tunavunjika

Na nilivyogoma kuwasikiliza wote vicheche nkawaita

Sikuwa na uwezo wa kuku-treat kama millionaire

Mapenzi yakazidiwa na maisha we had to break somewhere

Yes ulinikosea na ukanifanya nkalia

Nkashindwa kujikaza ikanibidi kukuachia

Hukuamini maneno yangu hukupenda the way they sounded

Au labda ahadi zangu hazikufikia what you wanted

Kama nkupigie simu nkusikie tu itanitosha

Hata ukinitukana moyo wangu utaupumzisha (baby come back)

Kama wakati urudi nyuma uniombe msamaha tena

Ama usingenikosea tuishi kama zama

Ukirudi sikuachi uende tena

Hata ukinikosea ukafanya ka' uliyoyafanya tena

Nani atafanya nisikuwaze? Hakuna binti wa aina yako

Nsasamehe ulikosea tu rudi kwa nafasi yako (rudi maa!)

Sileti tena kisu kwenye mpambano wa bunduki

Shell silingi tena taka sitaki sasa basi

Nikikaa chini waza mengi juu yako

Na some times, na-miss sana hot kisses zako

Natamani niguse tena mwili wako

Penzi lako, natamaniiiihh kama zamaniiii!!

Oh oh oh! natamani iwe,

Natamani iwe kama zamani (kama kama kama kama zamani)

Natamani iwe Eeh!

Oh oh oh! natamani iwe,

Natamani iwe kama zamani (kama kama kama kama zamani)

Natamani iwe Eeh!

One more time.

Oh oh oh! natamani iwe, natamani iwe kama zamani

Natamani iwe Eeh! (Lete kwaya sasa!)

Oh oh oh! natamani iwe, natamani iwe kama zamani

Natamani iwe... Eeh!

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status