Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2015

Lyrics

Kiboko Yangu ft. Alikiba - MwanaFA

...

Kwa sifa moja umenikamata

Nakupa, we peke yako ndo umeniweza

Nilikopita nimeteleza

Lakini kwako, we ndo kiboko yangu

Kila shetani ana mbuyu wake, we ni mibuyu mitatu

Ukiamua unitumikishe mwenzio ntalala na viatu

Najionea maajabu, najionea mapya mama angu

Hakuna mapenzi ya hivi popote kwenye ulimwengu

Siwezi elezea jinsi navyokuzimia

Nikicheza na moyo wako, unacheza na wangu pia

Nafsi yangu ilishapotea, siwezi hata kujitetea

Ka ulitoroka peponi uzuri ulivyokuenea

Piga la kushoto ntageuza na la kulia

Wengine hawanijaribu wanajua kitakachotokea

Sitaki mambo yaende kombo na yakienda yawahi kurudi

Hatuendi nayo, hatuwezi shindwa, yaje na mapambio ikibidi

Tunapishana, hatugombani then we back here

Hatuendi juu, hatuendi chini, love, we right here (oh!)

Hata mapenzi yakifa boo, si tubaki sawa tu

Si ni watu wazima, love hatuwezi kuishi ka underground

Ujue una nusu ya moyo wangu, na nusu ilo baki kwangu

Yote nakupenda wewe, una jua langu, una mwezi wangu

Unatembea na roho yangu (wewe)

Sio mtu tena wa mademu, we ndo Michelle Obama wangu

Kwa sifa moja umenikamata (umenikamata)

We peke yako ndo umeniweza (umeniweza)

Nilikopita nimeteleza (Ooh)

Lakini kwako, we ndo kiboko yangu

Sipagawi hawajui kwanza

We namba moja umewakimbiza

Unatembea na roho yangu

Nataka ujue we ndo kiboko yangu

Wakikuita vikao vya hino wambie uko busy na bwana

Na ubize hauwezi kuisha maana una mengi ya kufanya

Hatuwezi kosa usingizi sababu watu wanasema

Wana midomo, waifanyie nini? Waache wakichoka wataizima

Uko mikono salama, 'cause nakuzimia sana

Ka mboni yangu ya jicho jinsi navyokutazama

Mahaba to the moon and back

Kau keep it real, kwa kifupi mambo ya kihuni sitaki

Nataka tuzeeke pamoja

Mpaka vikongwe mi na we bega kwa bega

Chochote unachotaka nime mipango ya kukupa kweli

Kama sina ntatafuta na naamini utasubiri

Huwezi omba ndege una akili, huwezi omba meli

We ndo mtunza hela zangu, utaomba unachoweza himili

Ka mteka meli wa kisomali, we ndo captain wangu

We ndo suka man, we ndo pilot love

Ujue una nusu ya moyo wangu, na nusu ilo baki kwangu

Yote nakupenda wewe, una jua langu, una mwezi wangu

Sio mtu tena wa mademu, we ndo Michelle Obama wangu

(The One and only)

Kwa sifa moja umenikamata

We peke yako ndo umeniweza

Nilikopita nimeteleza

Lakini kwako, we ndo kiboko yangu

Sipagawi hawajui kwamba

We namba moja umewakimbiza

Unatembea na roho yangu

Unataka ujue we ndo kiboko yangu

Ali K, Mwana FA, Makochali

null

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status