Jambo Haliwezekani Lyrics
- Genre:Taarab
- Year of Release:2014
Lyrics
Jambo Haliwezekani - Yusuf Tenge
...
Simtii makosani ilahi mola muliwa
Simtii makosani ilahi mola muliwa jambo haliwezekani aeee
Jambo haliweekani kuwa halikujaliwa
Simtii makosani ilahi mola muliwa
Kwa dhiki za kidunia navingi kujikusuru
Ibilisi huningiaa akataka nikufuru
Ilahi nisaidia unipacho nishukuru
IIahi nisaidia unipacho nishukuru
Jambo haliwezkani aaaeeee
jambo haliwzekani kuwa halikujaliwa
Simtii makosani ilahi mola Muliwa
Simtii makosani ilahi mola muliwa
Yafahari na anasa hukutaka yaje kwangu
Wala hayo si makosa samahani mola wangu
Najua hungeniasa pengne si heri yangu
Najua hungeniasa pengine si heri yangu
Jambo haliwezkani aeee
Jambo haliwzekani kuwa haliKujaliwa
Simtii makosani ilahi mola Muliwa
Simtii makosani ilahi mola muliwa
Si wapepo ni wamoto mwenye Kukutia jongo
KKwenyekosa kosa kwenye pato hiyo ni yako mipango
Kuna walio na macho kuna wengine ni chongo
Kuna Walie na Matho Kuna wengine ni chongo
Jambo haliwezkani aeee
Jambo haliwzekani kuwa haliKujaliwa
Simtii makosani ilahi mola Muliwa
Simtii makosani ilahi mola muliwa
Nionapo wenginewe walo na bora neema
Matho usinifumbue nishindwe kuwatazama
Ulie wapa ni wewe na ndie ulo ninyima
Ulie wapa ni wewe na ndie ulo ninyima
Jambo haliwezkani aeee
Jambo haliwzekani kuwa halikujaliwa
Simtii makosani ilahi mola Muliwa
Simtii makosani ilahi mola muliwa